Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,514
- 14,173
Habar wakuu.
Kuna kitu kinaendelea nchini ambacho kimsingi sio kizuri.
Utekaji unaendelea kama kawaida .
Nauliza tatizo ni uislam wa Masauni au ni Ukristo wa Bashungwa?
Mbona hatusikii kwamba Bashungwa hafai kama ambavyo mitaa ilivyojaa kelele kwamba Hamad Masauni hafai?
Kuna kitu kinaendelea nchini ambacho kimsingi sio kizuri.
Utekaji unaendelea kama kawaida .
Nauliza tatizo ni uislam wa Masauni au ni Ukristo wa Bashungwa?
Mbona hatusikii kwamba Bashungwa hafai kama ambavyo mitaa ilivyojaa kelele kwamba Hamad Masauni hafai?