Halafu ka hao CIA hutungiwa Sheria na saa ingine kufikishwa bungeni na kuwa accountable why Kwa nchi yetu hizi intelligence Zina work under president instead saa nyingine kuwa hata independent body au bunge ili liwe accountable and more serious
Sema ni huku Tanzania watu kupoteza watu ni rahisi Kwa wenzetu hao investigative journalist wanalindwa Kuna dada ni mwandishi kipindi chake Cha uchunguzi aisee huingia Hadi kwenye magenge hatari ya uhalifu na hufanya chunguzi, Kuna sehemu alienda Nigeria kwenye mafuta ya magendo nusu wamlipue.
So nika conclude bongo bado hatujafikia hyo level, na hata Jerry muro sijui ilikuwaje tu
"If you keep on the past, the future will never discover you"
Hii statement niliwahi kuisoma kwenye thread moja ya Le Mutus (RIP), Nusu majivu, nusu damu.
Possibly huyu jamaa anaweza akaja akasimama kwenye nafasi ya Le Mutuz hapo baadaye
Halafu ka hao CIA hutungiwa Sheria na saa ingine kufikishwa bungeni na kuwa accountable why Kwa nchi yetu hizi intelligence Zina work under president instead saa nyingine kuwa hata independent body au bunge ili liwe accountable and more serious
Kwa sababu ya tofauti ya mfumo wa kiutawala ktk nchi na nchi. Kwenye nchi za Kibepari/kiliberali, Mamlaka za Ujasusi ni Mali ya Wananchi wote ktk nchi, wakati kwenye nchi za Kijamaa/Kikomunisti, Idara za Ujasusi ni Taasisi ambayo ni mali binafsi ya Rais wa nchi husika pamoja Utawala wake kwa lengo la kulinda maslahi yake na ya utawala wake.