GE2025 Dorothy Semu: Makamishna Tume Huru ya Uchaguzi wajiuzulu ili kupisha mchakato wa kupatikana wapya

GE2025 Dorothy Semu: Makamishna Tume Huru ya Uchaguzi wajiuzulu ili kupisha mchakato wa kupatikana wapya

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu amewataka Makamishna wa Tume huru ya Uchaguzi kujiuzulu ili kupisha mchakato wa kupatikana makamishna wapya kwa mujibu wa sheria. Hapa tulipo, makamishna waliopo ni aliyewahi kuwa msemaji wa CCM, ndugu Omary Ramadhan Mapuri.

Pia soma KWELI - Omary Ramadhan Mapuri aliyeteuliwa kuwa Mjumbe wa tume ya Uchaguzi amewahi kuwa Katibu Mwenezi CCM

Hatutaki kuona wanasiasa hasa wa CCM wakiwemo kwenye tume, tunataka tume yenye weledi, ambayo itakuwa tayari kuteletea uchaguzi wa huru na haki, itakuwa na makamishna ambao hawajaegemea upande wowote wa chama cha siasa.

Inawezekana hapa tulipofika, makamishna waliopo kwenye Tume wakajiuzulu na ukaanzisha mchakato huru wa kuwapata makamishna kama ilivyosemwa kwenye sheria ya Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu amewataka Makamishna wa Tume huru ya Uchaguzi kujiuzulu ili kupisha mchakato wa kupatikana makamishna wapya kwa mujibu wa sheria. Makamishna wa sasa ndio walewale waliovuruga uchaguzi uliopita.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Mhii si wanalinda kura hawa
 
Anachosema ni sahihi ila tatizo yupo ndani ya chama ambacho ni chawa wa Mbogamboga.

Itakuwa hawa wanafanya maigizo ya kuja na hoja zenye mashiko kiasi ili kupumbaza watu
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu amewataka Makamishna wa Tume huru ya Uchaguzi kujiuzulu ili kupisha mchakato wa kupatikana makamishna wapya kwa mujibu wa sheria. Makamishna wa sasa ndio walewale waliovuruga uchaguzi uliopita.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


ACT hawaelewi wasimamie wapi 🤣 🤣 🤣 🤣, CDM wamesimamia mapungufu hayo ACT wakawabeza. Now wanakuja kutoa milio ilele 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom