Don't promise!

Don't promise!

qvee

Member
Joined
May 13, 2020
Posts
19
Reaction score
56
Jamani katika maisha tusipende kutoa ahadi ambazo hatuezi kutekeleza. Tusipende kusema uongo. Just imagine unamuahidi MTU kutwa utamuoa eti hutokuja kumuacha, bad enough unafanya kila uwezalo umuaminishe mtu. Akati unajua huwez kufanya Yale unayoahidi

Siumii kwa sababu nimeachana nae ila kila nikikumbua ule uongo nabaki kuumia, wanaume mliozaa muwe wakweli... Niliambiwa kuzaa na mtu sio ndoa eti kazaa nae tuu na hawez kumuoa kisa kamzidi umri.

Cha ajabu Leo mtu na mzazi mwenzie wanaungana kunipaka shombo, inauma, kudanganywa kunauma sana

NB: Sio kwamba wameoana, walizalishana pindi wapo chuo wanasoma

Time will tell
 
Pole sana, it happens to almost everyone.
Kaa jipange upya, usitake furaha yako itoke kwa mtu mwingine, furaha yako itoke kwako mwenyewe kitu kama hiki kikikutokea tena utaweza ku-move on very quickly. Tafuta hobby au kama una kazi concentrate fanya, be the best you can be utakutana na watu even better utakuja kushangaa huyu ulikua unampendea nini. Fanya mazoezi kua sexy. One thing proven again and again to heal a broken heart ni self improvement, hakuna better way kama kuhit gym
 
Pole sana mkuu usijari utampata tu atakaekuoa, jitahidi kutafuta chance kadili uwezavyo

California love
 
Kudanganya tena kwa kumuaminisha mtu sio kuzur ila tukiwambia ukwel hamtoi tunda nyie ... dawa mwanamke mdanganye
 
Swali, Je, ulikuwa bikra au alikukuta used? Kama ulikuwa tiyari used, Ulimsumbua sana kutoa pichu? Kama ulimsumbua, ilibidi akulaghai uitoe pichu yako. Sasa aulipokukuta kumbe ni used wakati amekulilia hivyo, wadhani kinachofuata ni nini?? Manmbo zingine mnajitafutiaga wenyewe. Unamsumbua mtu hadi hamu inaisha anakuja kukuta kumbe debe unataka akuoe wa nini? Heri amrudie mzazi mwenziye tu si ndio? Pole sana
 
Pole sana, it happens to almost everyone.
Kaa jipange upya, usitake furaha yako itoke kwa mtu mwingine, furaha yako itoke kwako mwenyewe kitu kama hiki kikikutokea tena utaweza ku-move on very quickly. Tafuta hobby au kama una kazi concentrate fanya, be the best you can be utakutana na watu even better utakuja kushangaa huyu ulikua unampendea nini. Fanya mazoezi kua sexy. One thing proven again and again to heal a broken heart ni self improvement, hakuna better way kama kuhit gym
Yeeees mkuu afate huu ushauri atakuja kukushukuru badae hakuna kitu kinacho yeyusha stress kama kipiga zoezi nyieee hadi raha jaman....mtoa mada anza zoezi,ukoanza zoezi automatically mambo yatakaa mkao..

i am better here
 
Ni kwambie ukweli mchungu kuhusu wanaume? WOTE HUA NI WAONGO WKT WA KUTONGOZA MAANA UKIMWAMBIA MWANAMKE UKWELI KUHUSU MWANAUME THEN TEGEMEA KUMKOSA HUYO MWANAMKE. Wengine wanaokuja kuoa seriously, ni kwa Neema za Mungu tu.

Actually iko hivi; yule ulietamani kumuoa na ambae pengine unamfahamu vizuri ndio humuoi, na yule ambae hukupanga na wala huna background yake vizuri ndio unakuja kumuoa.

Hivyo relax my dear, take your time, pray, thanks God for everything happened and move forward. (Unapoanguka usilale, amka kung'uta vumbi - Songa mbele)
 
Pole sana dada, najua inauma sana lakini wanawake wengi wanapenda kudanganywa danganywa kwa ahadi ambazo kimsingi lolote linaweza kutokea kabla ya kutimia. We shukuru Mungu hujazalishwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pole mleta mada.
Ila swali langu, je na wewe hujawahi kumuacha mtu?. Kama ndiyo, basi ndo maumivu aliyoyasikia.
Kama ni hapana basi pole. Tafakari ulipokesea, then jipange kwa next move
 
hukujua kwamba everything fade

hukujua pia people change

je vp kuhusu even the greatest fall and fail

pole sana mkuu ss wanaume huwa hatunuwii kamwe kutoka moyoni hvo viapo au ahadi
 
Back
Top Bottom