Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,208
WanaJF,
Jana kwa muda hatuwepo online sijui ni nini kilitokea nadhani ADMIN anaweza kutujulisha, i hope hatukuwa hacked. Lakini vilevile jana nilipokuwa napitia pages za tovuti ya mwananchi nilifurahishwa sana na makala ambayo ilimhusu Butiku. Ingawa mwandishi anaonesha kuwa target yake ni kumbomoa Butiku, lakini alionesha mengine ambayo baadhi ya wanaJF tulikuwa hatufahamu.
Lakini jambo lingine ambalo niliobserve ni lile ambalo Mwafrika wa kike amekuwa akilisema mara kwa mara, Media nyumbani imenunuliwa, imenunuliwa na chief of spin ambaye ananekana kama sasa ni Rais wetu by proxy, kitu ambacho ni tragegy kuliko hata tuhuma za rushwa. Ajabu leo nimeshindwa kuipata hiyo article, kama kuna member akiipata aweke hapa, wenye akili waichanganue. Ilikuwa na heading inayofanana na Kikwete ameachwa peke yake kwenye mapambano dhidi ya Rushwa- Butiku. Sina hakika kama nimekumbuka vizuri.
Jana kwa muda hatuwepo online sijui ni nini kilitokea nadhani ADMIN anaweza kutujulisha, i hope hatukuwa hacked. Lakini vilevile jana nilipokuwa napitia pages za tovuti ya mwananchi nilifurahishwa sana na makala ambayo ilimhusu Butiku. Ingawa mwandishi anaonesha kuwa target yake ni kumbomoa Butiku, lakini alionesha mengine ambayo baadhi ya wanaJF tulikuwa hatufahamu.
Lakini jambo lingine ambalo niliobserve ni lile ambalo Mwafrika wa kike amekuwa akilisema mara kwa mara, Media nyumbani imenunuliwa, imenunuliwa na chief of spin ambaye ananekana kama sasa ni Rais wetu by proxy, kitu ambacho ni tragegy kuliko hata tuhuma za rushwa. Ajabu leo nimeshindwa kuipata hiyo article, kama kuna member akiipata aweke hapa, wenye akili waichanganue. Ilikuwa na heading inayofanana na Kikwete ameachwa peke yake kwenye mapambano dhidi ya Rushwa- Butiku. Sina hakika kama nimekumbuka vizuri.