We Elia nawe unapenda umbea!Kuna mtu anataka niachike!
We Elia nawe unapenda umbea!Kuna mtu anataka niachike!
Duh umesha achika kwa mpwa Masa?
Duh umesha achika kwa mpwa Masa?
.......tehe.......tehe......kona ikipigwa yeyote anaweza kufunga, bora uruke kwa malengo uki-aim kupiga kichwa mpira.Karibu!Hehehe naona kama umenishukuru mimi japo sio mimi!Vipi hapo mwisho?
Mpwa unavizia kitu?
Nani huyo, nikamsute......mi ni professional msutaji. yani naenda kumsuta na band ya Ngwasuma kabisa.We Elia nawe unapenda umbea!Kuna mtu anataka niachike!
Naona unamlia mtu timing kwenye kona........Reverend, you better take not of this.Sio kuvizia tu we endelea na ziara za mikutano yako ya ki moyo! kaa hata miezi4 :frog::eyeroll1:
Lizzy naweza pata uji wa ulezi changanya na maziwa mtindi! Ngoja nitafute ule mkuki wa Kichungaji....
Hahahaha!Huogopi maumivu?
Hahaha labda mistari hailipi!!Hapa baba mchungaji kajenga..so kuhama itakua kazi.. inabidi ukaze buti huko huko!
As stated by Rev Masanilo,
First Trust in God the source of all love and hapiness.
second: Live a normall , natural life i.e be yourself and dont act things put in movies. Maisha halisi yana kukwazana na mapungufu madogomadogo. Maisha halisi si kila siku shopping Dubai , ni kuwa mbunifu katika hayo hayo yaliyo ndani ya uwezo wako na kuridhika nayo. Kujitahidi katika yote hasa kumfanya mwenzio azidi kukuamini kwa matendo , jali mafanikio ya mwenzio, mpe moyo na pia samehe , samehe na sema samahani.
Maisha ni rahisi kama kila mtu anajua wajibu wake, mapenzi si kutegeana huyu anatanifanyia nini na atanipa nini, kwa walio katika ndoa, just give the very best , give your whole heart. With God it always works out.