Wadau ningependa mtu anayeifanya biashara hii anipe abc zake,maana mtaa niliohamia nimeona kuna fulsa sana ya kuanzisha hii biashara ya mitungi ya gesi kwa matumizi ya majumbani.ninahitajika niwe na sh ngapi kama kianzio? je oryx wanaweza kukufanya kama wakala na mambo mengne muhim ningependa kuyafaham.nawakilisha