Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maoni yangu naona mtoa maada yupo sawa kutafuta taarifa/maarifa ya biashara yake kabla hata hajapata hiyo hela.binafafsi huwa naona muda muafaka wa kufanya tafiti ya fursa ni kipindi ukiwa huna kitu ili usijeishia kufanya kitu kwa mchecheto.lakini ukiwa huna kitu utakuwa na muda zaidi wa kutafta maarifa na kuchuja fursa unazozipata na punde upatapo mtaji unaanza kuingiza mtaji kidogo kidogo kwa zile ulizoona zinakidhi vigezo zaidi.Hata nikikupa kama huna hela ni kupotezeana time tu,sema uko wao unayo hela then nakupa nondo vizur
Pesa iko, weka mchakato kiongozi.Hata nikikupa kama huna hela ni kupotezeana time tu,sema uko wao unayo hela then nakupa nondo vizur
Fulsa au Fursa??Wadau ningependa mtu anayeifanya biashara hii anipe abc zake,maana mtaa niliohamia nimeona kuna fulsa sana ya kuanzisha hii biashara ya mitungi ya gesi kwa matumizi ya majumbani.ninahitajika niwe na sh ngapi kama kianzio? je oryx wanaweza kukufanya kama wakala na mambo mengne muhim ningependa kuyafaham.nawakilisha
Ili uelewe lazima tuongea au kuonana kabisa na kukuelekeza live
Usijifanye unajua Lugha wengine si waswahili humuFulsa au Fursa??
Unawakilisha au unawasilisha??
Mimi ninazo nipe muongozo mkuu,nipo mtwarauntafute ukipata hizo hela