Donald Trump: Tuna habari njema Gaza

Donald Trump: Tuna habari njema Gaza

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
Rais wa Marekani Donald Trump kasema kuna habari njema huko Gaza!

Julai 16, 2025 Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza bila kufafanua kuwa “kuna habari njema kuhusu Gaza” katika hafla ya Ikulu ya White House

Mjumbe maalum wa Marekani kwa Mashariki ya Kati, Steve Witkoff, amesema mazungumzo yanayoendelea Doha yana maendeleo mazuri

Chanzo cha kidiplomasia kutoka nchi ya Kiarabu kimeiambia The Times of Israel kuwa kuna nafasi ya kufikia makubaliano ndani ya siku chache

Hii inatokana na uamuzi wa Israel kupunguza kwa kiasi kikubwa uwepo wake wa kijeshi Gaza ndani ya mpango wa kusitisha mapigano kwa siku 60, Hata hivyo, bado kuna masuala muhimu ya kujadiliwa kabla ya makubaliano rasmi kutangazwa.
====
Without elaborating, US President Donald Trump declares at a White House event, “We have good news on Gaza”

US special envoy to the Mideast Steve Witkoff, who is also at the event, tells reporters that talks in Doha are progressing well

Earlier today, an Arab diplomat and a second source involved in mediation efforts told The Times of Israel that a window has been opened to reach a deal within days after Jerusalem agreed to significantly decrease its force presence in Gaza during the 60-day truce currently under discussion

Several other issues still need to be discussed, though, so an announcement of a deal this fast is not likely


US President Donald Trump speaks during a ceremony to sign the "Halt All Lethal Trafficking of Fentanyl Act," in the East Room of the White House, July 16, 2025, in Washington​

Source: THE TIMES OF ISRAEL
 
Rais wa Marekani Donald Trump kasema kuna habari njema huko Gaza!!
huyu mtu ashukuliwe kwa juhudi zake za kutaka kuwaokoa IDF maana ile vita ya siku 12 HAMAS waliitumia kujiimarisha mpk hivi tunavyoongea vichwa vya IDF zaidi ya 100 vimeliwa pale GAZA,achana na wale waliojiua wenyewe kwa kiwewe cha kuwaona makobazi njozini
 
huyu mtu ashukuliwe kwa juhudi zake za kutaka kuwaokoa IDF maana ile vita ya siku 12 HAMAS waliitumia kujiimarisha mpk hivi tunavyoongea vichwa vya IDF zaidi ya 100 vimeliwa pale GAZA,achana na wale waliojiua wenyewe kwa kiwewe cha kuwaona makobazi njozini
Dah!

Wabongo iko shida aisee
 
Wenzako Israel wanacharazwa vibaya sana kule Gaza na Netanyahu yuko hatarini kupoteza nafasi ya prime ministry we baki unakinga ndoo ya maji mpaa ijae hahaha
 
Huyu anaishi huko huko Israel, haishi huku.
Basi atakuwa anashangilia na hawa....
Hio boxer inakubusha kitu kwa mwenzetu....

1752783995209.png
 
Back
Top Bottom