Sijaelewa mkuu. Unafanya kazi Masijala hapo Mbinguni?Of coz kazi za mikono yako hazikupeleki mbinguni in Christianity.
Uhakika wetu unatokana na kumwamini KristoRais wa 47 wa Taifa la Marekani, Donald John Trump (79) ameeleza mashaka yake ya kuingia mbinguni ambapo amesema hana hakika kama kuna kitu kinachoweza kumfanya aingie mbinguni ila ana uhakika amesaidia maisha ya watu wengi.
Trump alisema hayo akijibu swali la mwandishi wa habari aliyemuuliza kuhusu ratiba yake ya kusali na jinsi itakavyomsaidia kuingia mbinguni ndipo Trump akasema;
"Unajua mimi sidhani kama kuna kitu chochote kitakachonipeleka mbinguni. Kweli, sidhani. Huenda mimi si mtu wa kwenda mbinguni. Labda niko mbinguni sasa hivi, tunaposafiri kwa ndege ya Air Force One. Sina uhakika kama nitaweza kwenda mbinguni, lakini nimefanya maisha ya watu wengi kuwa bora zaidi."
Amesema Trump baada ya kauli yake Wiki kadhaa zilizopita kudai kutaka kuimaliza Vita ya Ukraine kwani itamsaidia kwenda Mbinguni.
unataka kusema ni mwanachama wa skull and boner/illuminat/freemason na magenge mengine ya namna hiyo?Hilo lipo wazi.....
Mfuasi wa Hiram Abiff mwenye daraja namba 33° anaanzaje kwenda mbinguni?
Hayo magenge bado hayashtui...unataka kusema ni mwanachama wa skull and boner/illuminat/freemason na magenge mengine ya namna hiyo?
Kama hakuna kufufuliwa kwanini kuna DNA 🧬 ambayo inabeba utambulisho wetu"Labda Niko mbinguni Sasa hivi"
Huo ndiyo ukweli baba kula maisha, Duniani hapa ndiyo mbinguni na kuzimu ni Duniani hapa hapa
Kule wapi?namim niungane na nae sina uhakika kua nitaenda kule
Kwahiyo mkuu unaamini Kuna siku atakuja jamaa awafufue watu wote waliokufa 🤣.
Kama hakuna kufufuliwa kwanini kuna DNA 🧬 ambayo inabeba utambulisho wetu
Kwani lazima kwenda mbinguni ambako hukuwekeza wala kuwa na chako? Ukishakufa, kazi kwisha. Unarudi kwenye nobodity/nonentity kama ulivyokuwa awali.Rais wa 47 wa Taifa la Marekani, Donald John Trump (79) ameeleza mashaka yake ya kuingia mbinguni ambapo amesema hana hakika kama kuna kitu kinachoweza kumfanya aingie mbinguni ila ana uhakika amesaidia maisha ya watu wengi.
Trump alisema hayo akijibu swali la mwandishi wa habari aliyemuuliza kuhusu ratiba yake ya kusali na jinsi itakavyomsaidia kuingia mbinguni ndipo Trump akasema;
"Unajua mimi sidhani kama kuna kitu chochote kitakachonipeleka mbinguni. Kweli, sidhani. Huenda mimi si mtu wa kwenda mbinguni. Labda niko mbinguni sasa hivi, tunaposafiri kwa ndege ya Air Force One. Sina uhakika kama nitaweza kwenda mbinguni, lakini nimefanya maisha ya watu wengi kuwa bora zaidi."
Amesema Trump baada ya kauli yake Wiki kadhaa zilizopita kudai kutaka kuimaliza Vita ya Ukraine kwani itamsaidia kwenda Mbinguni.