Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,588
- 23,949
- Thread starter
- #121
Inaonekana Trump anazidi kuumbuka na WH inazidi kuchanganyikiwa swali kubwa likiwa ni sababu zilizopelekea Comey kutimuliwa huku kila msemaji akinena ya kwake. Sijui kama kuna siku na hapa kwetu kamati za Bunge tutaziona live zikiwaweka kikaangoni wakuu wetu wa usalama na ulinzi kama tunavyoshuhudia kwa wenzetu...nadhani hilo hata ndotoni haliwezi kutokea...ha ha haa!Duu huyo acting FBI Director anatema madini huko si mchezo, Trump is in trouble aisee!