Dola 250,000 zaibwa CCM UK?

sasa tunatumiana sms kutaka kujua nani ka likisha hii habari kwenye intaneti

kama kawaida yetu tunatafutana uchawi
 
Nilikwisha sema kuhusu haya matawi ya CCM nje ni wizi mtupu, wakataka kunitoa roho. 360 days ni nyingi sana. Mpaka 2015 tutaona mengi sana.
Nilikuwa napita tu........
 
attachment.php


Pesa zimetumwa lakini wajanja wamezila.

sasa hivi kuna makundi ma 3 ndani ya jumuiya yetu huku UK na kadri inavyofanywa siri ndivyo wengine wanazidi kuwa na hasira na uongozi

wenyewe wanajijua na watakuja humu kutukana na kukana lakini kamati zishaundwa

na si CCM tuu bali hata kwenye jumuia ya Tanzania Association nako mambo si mazuri

Tunapiga vita ufisadi Nyumbani kwa ku export ufisadi nje ya nchi

sasa sababu ya kufungua matawi ya chama nje mmeona....watu wanatuma maombi ya pesa Tanzania kumbe wao wanataka kuzila

Tangu lini ukamwamini kunguru wa Zanzibari. watalizana tu.
 
mkuu hao uliowaweka kwenye picha ndio wezi wenyewe au?? maana kama hawajaiba inatupa very wrong impressions na wao wanakua implicated negatively

BTW, kama wamechoka kimtindo hivi

Kaka wengine hawako photogenic tu.
 
sasa tunatumiana sms kutaka kujua nani ka likisha hii habari kwenye intaneti

kama kawaida yetu tunatafutana uchawi

Hii habari inabidi iripotiwe Wizara ya Mambo ya Ndani ya UK, UK Serious Fraud office (SFO) ambayo inadeal na fraud na corruption na polisi pia. According to their their website, SFO's aim is to protect society from extensive, deliberate criminal deception which could threaten public confidence in the financial system. They investigate fraud and corruption that requires their investigative expertise and special powers to obtain and assess evidence to successfully prosecute fraudsters, freeze assets and compensate victims.

Since this fraud was done in the UK, the UK's authorities has legitimate jurisdiction to investigate. SFO can investigates and prosecutes cases of domestic and overseas corruption.They are responsible for enforcing the current law and will be responsible for enforcing the provisions of the Bribery Act (2010) in respect of overseas corruption.

Hii tume ambayo mmesema imeundwa haitafanya kitu, inatafuta posho tuu. Haina expertise ya ku investigate fraud and/or corruption issues. The real deal ni kurepoti kwa vyombo husika vya UK ili waliohusika washughulikiwe kwa mujibu wa sheria. We need to stop talking about this madness, instead take action.

Act now. I am.
 
Mi simwelewi mtu anayeshangaa WIZI ndani ya CCM....., it's part and parcel of their life...
 
Kaka wewe mgeni CCM UK au TanzUk mbona pesa zimeliwa na zitaendelea kuliwa hapo,maana mchezo ulianza toka yule mama balozi yupo hapo.Nyie muulizeni A.faraji na wenzake wanajua vizuri halafu hela zote za nini huko UK au mnajenga Barabara na hospital kwa wapiga kura wenu.
Kweli ukistaajabu ya mussa .............
 
Kaka wewe mgeni CCM UK au TanzUk mbona pesa zimeliwa na zitaendelea kuliwa hapo,maana mchezo ulianza toka yule mama balozi yupo hapo.Nyie muulizeni A.faraji na wenzake wanajua vizuri halafu hela zote za nini huko UK au mnajenga Barabara na hospital kwa wapiga kura wenu.
Kweli
ukistaajabu ya mussa .............


utashnagaaa ya CCM UK
 
Hii taarifa ni nyeti sana. Wana JF inabidi tuitafakari kwa upana zaidi. Habari sahihi za ndani ya CCM ziliwahi kuvuja kuwa chama kina fedha chache kiasi cha kuanza kupunguza ruzuku kwa baadhi ya idara zake kama gazeti la uhuru, radio uhuru n.k Pia wakatangaza kupunguza posho. Upungufu huu wa kipato kwa CCM ulitokana na kupoteza viti vingi vya bunge katika uchaguzi uliopita na hivyo kupunguza ruzuku ya chama.

Kama chama kina hali mbaya kifedha kiasi hicho inabidi itazamwe kwa undani wake hizo dola 250,000 (more than 300 milioni TShs) zilizopelekwa UK chanzo chake ni kipi? Nani aliyezituma? Benki iliyozisafirisha ilitumia utaratibu gani au invoice gani ilitumika na ilikuwa na maelezo gani? Hizo fedha ni nyingi sana na si rahisi kuamini kuwa zinaenda UK kujenga chama. Chama kinawanachama wasiozidi 100,000 unawapelekea fedha zote hizo za nini?

Hapa kuna mambo mengi ya msingi ya kujiuliza. Tunahitaji majibu toka CCM ili waeleze ukweli maana inaweza kuwa ni sehemu ya ufisadi na usafirishaji wa fedha za kigeni nje ya nchi bila utaratibu mzuri.
 
Kaka wewe mgeni CCM UK au TanzUk mbona pesa zimeliwa na zitaendelea kuliwa hapo,maana mchezo ulianza toka yule mama balozi yupo hapo.Nyie muulizeni A.faraji na wenzake wanajua vizuri halafu hela zote za nini huko UK au mnajenga Barabara na hospital kwa wapiga kura wenu.
Kweli ukistaajabu ya mussa .............

Alaah kumbe ! Mama kahamishiwa US na sasa naambiwa walafi wako mbioni kufungua matawi hata huko. Lakini huko waangalie, mjaluo kishawashtukia kitambo na ndio maana safari zimepungua. Kazi ipo !
 
Mwenyekiti wa CCM UK - Maina Owino na wenzake wanayo mengi ya kutueleza.
Hii taarifa ni nyeti sana. Wana JF inabidi tuitafakari kwa upana zaidi. Habari sahihi za ndani ya CCM ziliwahi kuvuja kuwa chama kina fedha chache kiasi cha kuanza kupunguza ruzuku kwa baadhi ya idara zake kama gazeti la uhuru, radio uhuru n.k Pia wakatangaza kupunguza posho. Upungufu huu wa kipato kwa CCM ulitokana na kupoteza viti vingi vya bunge katika uchaguzi uliopita na hivyo kupunguza ruzuku ya chama.Kama chama kina hali mbaya kifedha kiasi hicho inabidi itazamwe kwa undani wake hizo dola 250,000 (more than 300 milioni TShs) zilizopelekwa UK chanzo chake ni kipi? Nani aliyezituma? Benki iliyozisafirisha ilitumia utaratibu gani au invoice gani ilitumika na ilikuwa na maelezo gani? Hizo fedha ni nyingi sana na si rahisi kuamini kuwa zinaenda UK kujenga chama. Chama kinawanachama wasiozidi 100,000 unawapelekea fedha zote hizo za nini?Hapa kuna mambo mengi ya msingi ya kujiuliza. Tunahitaji majibu toka CCM ili waeleze ukweli maana inaweza kuwa ni sehemu ya ufisadi na usafirishaji wa fedha za kigeni nje ya nchi bila utaratibu mzuri.
 
As it stands

Mwenyekiti alisema angetuletea ripoti baada ya siku 3
tumekutana ishapita wiki 3 hakuna ripoti wala nini

kamati iliyoundwa kumchunguza haina nguvu kwani nao inasemekana ndio waliogawana pesa

sasa hivi balozi kasema angeingilia lakini tatizo kuna ziara ya wabunge

as it stands nina wasi wasi kama tutasaidiwa kwani katibu wa CCM hapa bi Susan mzee amemshika pabaya balozi...anapewa taarifa za maneno tuu hana taarifa ya maaandishi

kwa ilivyo kuna hatari ya watu kuondoka CCM na eidha kujiunga na vyama vingine au kuwepo kwa mgawanyo mwingine ndani ya Chama cha Mapinduzi UK
 
attachment.php


Pesa zimetumwa lakini wajanja wamezila.

sasa hivi kuna makundi ma 3 ndani ya jumuiya yetu huku UK na kadri inavyofanywa siri ndivyo wengine wanazidi kuwa na hasira na uongozi

wenyewe wanajijua na watakuja humu kutukana na kukana lakini kamati zishaundwa

na si CCM tuu bali hata kwenye jumuia ya Tanzania Association nako mambo si mazuri

Tunapiga vita ufisadi Nyumbani kwa ku export ufisadi nje ya nchi

sasa sababu ya kufungua matawi ya chama nje mmeona....watu wanatuma maombi ya pesa Tanzania kumbe wao wanataka kuzila

Na nyie kwapueni yale mabaki ya rada kabla ya majambazi menzenu ya TZ hayajazifuata. Chukua Chako Mapema kabla ya 2015.
Ninaomba mzifiche kwenye chungu kwa sababu tuna account zenu wote.
 
as it stands nina wasi wasi kama tutasaidiwa kwani katibu wa CCM hapa bi Susan mzee amemshika pabaya balozi...anapewa taarifa za maneno tuu hana taarifa ya maaandishi

kwa ilivyo kuna hatari ya watu kuondoka CCM na eidha kujiunga na vyama vingine au kuwepo kwa mgawanyo mwingine ndani ya Chama cha Mapinduzi UK

Mkuu hapo kwenye RED kuna maswali mengi naomba ufafanua maana huyo Mrs susas mzee amewai kuwa na tuhuma nyungi sana zikiwemo na mahusiano nje ya ndoa tena kwa kwenda kinyume na maumbile na waume za watu hali akiwa na wake.

sana unaposema kamashika pabaya balozi unamenishitua kidogo naomba fafanua
huyo ni mwakilishi wa raisi bana
 
attachment.php


Pesa zimetumwa lakini wajanja wamezila.

sasa hivi kuna makundi ma 3 ndani ya jumuiya yetu huku UK na kadri inavyofanywa siri ndivyo wengine wanazidi kuwa na hasira na uongozi

wenyewe wanajijua na watakuja humu kutukana na kukana lakini kamati zishaundwa

na si CCM tuu bali hata kwenye jumuia ya Tanzania Association nako mambo si mazuri

Tunapiga vita ufisadi Nyumbani kwa ku export ufisadi nje ya nchi

sasa sababu ya kufungua matawi ya chama nje mmeona....watu wanatuma maombi ya pesa Tanzania kumbe wao wanataka kuzila

Hivi na huyo wa kushoto kwangu naye yuko UK?

Mbona choka mbaya namna hiyo? Si arudi tu nyumbani wadau?

Hivi mtu kama huyo ataacha kuzipiga kweli akikutana nazo?
 
Mkuu hapo kwenye RED kuna maswali mengi naomba ufafanua maana huyo Mrs susas mzee amewai kuwa na tuhuma nyungi sana zikiwemo na mahusiano nje ya ndoa tena kwa kwenda kinyume na maumbile na waume za watu hali akiwa na wake.

sana unaposema kamashika pabaya balozi unamenishitua kidogo naomba fafanua
huyo ni mwakilishi wa raisi bana


habari ndio hiyo....
 
Haki ya Mungu mna laana nyie wa-CCMagamba!!
Badala ya kuwanunulia watoto madawati ya kusomea mnatuma pesa hizo kwa wabeba maboksi!!

tanzania miaka 50 ya uhuru 2011.jpg
 
Back
Top Bottom