dizaini hizi zina advantage unaweza ukapiga show wakati mamsapu amelala na asisikie kitu inside, tehe tehe
jamaa ana tatizo kaingia kwa daktari ikawa kama ifuatavyo,,
jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,
daktari : Hebu vua nguo tuone,
jamaa: Sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.
daktari : Usijari mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka mgonjwa.
Jamaa akavua suruali kuonesha dushelele yake. Basi dokta kuona ustaarabu ukamshinda akaanza kucheka na akacheka kama dk 3 hadi machozi yakamtoka. Kwani dushelele ya jamaa ni kadogo kama betri ya aaa (betri za remote ya king'amuzi).daktari alipomaliza kucheka mazungumzo yakaendelea,,
daktari : Enhee tatizo ni nini???
jamaa: Imevimbaa toka juzi,
daktari akazimia pale pale,,,,,,
nawatakia lunch njemaa,,,,
hahah hahah hahah hahh uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu wajameni hubhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu lol lol lol loljamaa ana tatizo kaingia kwa daktari ikawa kama ifuatavyo,,
jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,
daktari : Hebu vua nguo tuone,
jamaa: Sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.
daktari : Usijari mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka mgonjwa.
Jamaa akavua suruali kuonesha dushelele yake. Basi dokta kuona ustaarabu ukamshinda akaanza kucheka na akacheka kama dk 3 hadi machozi yakamtoka. Kwani dushelele ya jamaa ni kadogo kama betri ya aaa (betri za remote ya king'amuzi).daktari alipomaliza kucheka mazungumzo yakaendelea,,
daktari : Enhee tatizo ni nini???
jamaa: Imevimbaa toka juzi,
daktari akazimia pale pale,,,,,,
nawatakia lunch njemaa,,,,
Jamaa ana tatizo kaingia kwa Daktari ikawa kama ifuatavyo,,
Jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,
Daktari : Hebu vua nguo tuone,
Jamaa: sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.
Daktari : usijari mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka mgonjwa.
jamaa akavua suruali kuonesha dushelele yake. basi dokta kuona ustaarabu ukamshinda akaanza kucheka na akacheka kama dk 3 hadi machozi yakamtoka. kwani dushelele ya jamaa ni kadogo kama betri Ya AAA (betri za remote ya king'amuzi).Daktari alipomaliza kucheka mazungumzo yakaendelea,,
Daktari : enhee Tatizo ni nini???
Jamaa: IMEVIMBAA toka juzi,
Daktari Akazimia pale pale,,,,,,
NAWATAKIA LUNCH NJEMAA,,,,[/QUOTE
uwiiiiiiiiiiiiiiiiii nimecheka sanaa sijui kama kinaweza kufanya mavituzii ipasavyo!!!