Dogo noma sana huyu

Dogo noma sana huyu

NancyM

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
314
Reaction score
40
Dogo mmoja aliibiwa yebo yebo zake msikitini akawa analia kweli Shekhe akamwambia uslie ww muachie Mungu. Dogo akajibu hata Mungu azimtoshi maana ni ndogo sana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Dogo mmoja aliibiwa yebo yebo zake msikitini akawa analia kweli Shekhe akamwambia uslie ww muachie Mungu. Dogo akajibu hata Mungu azimtoshi maana ni ndogo sana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

zilipendwa ndg..
 
Dogo mmoja aliibiwa yebo yebo zake msikitini akawa analia kweli Shekhe akamwambia uslie ww muachie Mungu. Dogo akajibu hata Mungu azimtoshi maana ni ndogo sana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mh! Unapokopi jaribu kuboresha zaidi,
lakini badala yake imeboa hakuna mfano...
 
Kumbe msela huwa anagandamizia na mimi nampaga bigup za bure kha! Atazirudisha
 
Hhahhah wandungu my aim is to make people happy kama watapenda sa siwez kukulazimisha kufurahi kosoa baba

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wasikuzingue NancyM mbona wanaisoma. Hii dunia yenyewe tunakopi vitu vyote vilishafanya siku nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi.
 
Iko poa sana..JF wageni kila sikuusiogope, ngoja nao waenjoy! Za kwao mpya ziko wapi? Kazi kuchungulia tu..haooooo..
 
Back
Top Bottom