Dogo na Mfanyakazi wa ndani

Dogo na Mfanyakazi wa ndani

madei lapia

Member
Joined
May 22, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Dogo: Mama hivi malaika si wanapaa?
Mama: Ndiyo wanapaa, Kwanini umeniuliza hivyo?
Dogo: Nimemsikia baba jana anamuita dada (housegirl) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
Mama: Ndiyo atapaa kuelekea kijijini kwao kesho, Shwain!!!!
 
Hahahahaha uwwiiiiii

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom