hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Kwahiyo reaction waliyokuwa nayo japs kwako wewe sio factHii habari ni ya muda mrefu. Ninaifahamu vyema.
Swali langu ni hili tu;
Kama kombora lilifikia altitude ya zaidi ya kilometa 500. Urefu huo ni anga ya Japan?
Mimi nilidhani utaleta evidence inayoeleza kuwa habari hiyo ni uongo