Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!

Tofauti ya early 20's na early 30's ni nzuri sana kwani mwanamme amekomaa kiakili na mwanamke anakopu kwani wanawake ni mahodari sana. Ila ya late 20's na late 30's ni mbaya kwani wote mmeshachelewa na kwa hiyo mnaingia kwenye ndoa kwa lengo moja tu la kuijaza dunia na mnasahau kabisa sehemu muhimu ambayo ni starehe katika ndoa. Usisahau kuuchunguza au kuupa nafasi moyo wako kumpenda kama yeye anakupenda tena kabla ya kuamua kuwa nae deeply.
 
Vi feelings naviona tena vinakuja kwa kasi ya ajabu......

nimedate na mtu tulikuwa the same age,what happened left me with a broken heart
sema hii age difference nimeiona kama ni kubwa,I just dont know for real.........
You are only a drifter in the sea of life you dont know what really matters in life kuna vijana wana roho na mawazo ya kizee na wazee wana roho za ujana unataka kipi je mzee wa miaka 70 na wa miaka 60 tofauti yao nn kwanza at 39 utakuwa mzee sana kwake akiwa na 49 na atakuwa anatamaniwa na vibint vya 26yrs
 
Rafiki wapi tena, yaani umekuwa kama kiangazi....joking....tangu baridi ianze tunakiota. Tumeshakuja tumempa elimu si unajua amekuja na maelezo yanayoonyesha ana kizungumkuti.
 
Binafsi sioni kama kuna tatizo maana kitu pekee kiwaunganishacho ni mapenzi...

Hivyo kama amefikia vigezo vyako uvitakavyo then go for it you never know...

Nimeona kuna mahali umesema unataka kumuuliza mama, mmh naona ni mapema mno kumfuata mzazi kwa sasa...
 

Kwanza,umri sio tatizo,am not being selfish,ila sio tatizo pale a man anapokua older (kwa range hiyo,2-10yrs) lakini sio mdada.

Lakini hizo red hapo zina changanya sana,kaibuka,not in a relationship,planning to talk to mum.

Anyways,all the best. Be good in your marriage life,story zingine waachie wasiotaka(wasiokua na sifa za) kuolewa
 
Last edited by a moderator:

asante Tamatheo ushauri wako counts alot......
 
Last edited by a moderator:

Any relationship has 3 big issues about men. Just learn your game you will be fine!!!!!!!! Know when to hold and when to fold.

Stage 1.
1. Mwanaume sio ndugu yako ama mzazi wako. Ni mtu tu mmekutana ukubwani. (Meaning tolerance level yake iko chini. So behave as much as possible. Don't push his limits. Know your boundaries. Hakuna mwanaume utayeshindwana nae)

Stage 2.
Dont take any man for granted. Any means ANY hata kibuzi. They are sharp to sense your over comfidence and they love to challange you. Its about continuous and gradual process of winning his heart over and over. You better take your time.

Stage 3
Become The Master of Manipulation to get him to do what you want. Every body has a weak point, use it to your advantage. Kila shetani na mbuyu wake wewe usilale usingizi mpaka uujue huo mbuyu wake. Ndo utashangaa mwenzio mumewe kamjengea kwao, anasomesha wadogo zake wote ulaya, ana bonge la gari, full shopping, we wako nyama hanunui humo ndani, ama ukisema habari za ndugu zako tu ugomvi ukakalia ana bahati yule au limbwataa! Wapiiiiiiiii!!!!! Kaujua mbuyu ulipo, akitaka kitu tu anakwea mbuyuni. Mjini hapa!

ALL THE BEST!!!!!!!!
 

Ha!mbona iyo ni kawaida tena sahihi?ingekua kidume ndio kimepigwa gape hilo sawa,bt wewe!!aaaaaah wacha we!msg delivered
 

Red: Sidhani kama ni kweli.
Mna miili mizuri tu,tatizo ni kudeka. Hamna mazoezi hata sumni kisa hamtaki kunuka jasho.
Poleni,personally mamangu watu wanadhani nidadangu. Young looking,lakini mazoezi yake hata mimi
mwanaume nakuaga mvivu kuyafanya.
 
I wish to comment on this,yes i think i can,u have pointed out two things at once if am not mistaken:age difference & life styles! With age different factor this depends on prospects,;;for someone whom u wish to get married to,its the right difference no doubt abt it,especially when taking into consideration the nature of humans being,....thereafter life styles: to me is the most complex issue of all,would u clear it out first before working on age difference?
 

kwenye red usishangae alishaibuka akanielezea lengo lake,SIJAMJIBU straight
ye anasubiri jibu langu,aje kwetu ku propose na kuanza process nyingine!!!!!!

what am planing to tell my mother ni kuhusu haya mahusiano nnayotaka kuanzisha
na kumweleza kuhusu swala la umri,mambo mengi namshirikishaga mama angu,
ndio maana nataka niongee nae nijue her view!!!!!!

Thanks kwa ushauri wako.........
 

Hiyo ndio age inayofaa, Na mkibahatika kuoana ndoa yenu itadumu. Epuka kuolewa na mtu mnaefanana umri
 
Kwani ana mtindo gani wa maisha ambao weye wakupa kizungumkuti?

yaani ni yule mtu fulani ana act so matured hadi najishtukia

kuna vitu flani naviona kwake amabavyo mimi najiona yeah I still want to
do,this act this way,na ye huko wala hayupo!!!!!!!
 

Wewe ni mwanamke hatari sana, na mmeo inatakiwa awe makini sana
 
ndo vijana walivyo yan ukipanik na yeye huyo ! Hasemi hapa ngoja nijishushe kidogo mamaa atulie hamna loh! But wa dizain hiyo mweh! Atacheza na psycholojia yako tu! Utaona huuyoo! Akirud yameisha !

Nimepita huku mpenzi,nayajua haya uyasemayo

we unaumia Kiroho ye wala ashatoka huko siku nyingi....
 

huyo huyo grafani11 wala hujakosea..

Kumpenda yeah I can see my emotions going that way...

and my emotions zinaenda that way cos he has certain qualities
that as a girl I really admire

sema shida ilikuwa hapo tu asante kwa ushauri wako my dada Blue G
 
Last edited by a moderator:
Age ya kawaida hiyo na utaEnjoy mpaka useme ulikuwa wapi siku zote.Cha muhimu kumsoma vyema huyo mutu na usimshirikishe mama mapema hiyo makitu.....kama una dada anayejitambua bas waweza kushare nae.

asante miss strong,mama namshirikisha hii kitu
cos n mtu Open na huwa tunaongea mambo mengi......

My sis ye majibu yake cmple and clear unaeza hata ulie,bora nishee tu na nyie
wana MMU wenzangu ila ye ntamwambia tu kama kumpa taarifa.......
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…