Afrika pia mapenzi yapo. Tena mwafrika akipenda amependa atavulimia yote. Wazungu sio wavumilivu kosa moja kibarua kimeota nyasiMapenzi Ulaya, Afrika tunaigiza tu!
wewe unaigiza?Mapenzi Ulaya, Afrika tunaigiza tu!
Wacha weeh, saivi tuko episode ya ngapi vile?Mapenzi Ulaya, Afrika tunaigiza tu!
Hao waafrika wanaopenda wako wapi nami nikajipatie mmoja!Afrika pia mapenzi yapo. Tena mwafrika akipenda amependa atavulimia yote. Wazungu sio wavumilivu kosa moja kibarua kimeota nyasi
Ndo kwanza episode1.....keep watching!Wacha weeh, saivi tuko episode ya ngapi vile?
Nitaachaje kuigiza wakati niko kwenye jumba la sanaa na wasanii kibao?wewe unaigiza?
duuh... haya mkuuNitaachaje kuigiza wakati niko kwenye jumba la sanaa na wasanii kibao?