Dodoma vs Thika

Ule mtaa wa Dodoma ulioko njia ya kwenda Udom ambao una majengo ya Hazina, benki kuu, Dodoma conventional center n.k utakuja kuwa babkubwa. Maendeleo yake ni ya kasi sana na hivi uncle Magu anawekeza Dom basi ndani ya miaka kadhaa mbele ndio utakua sura ya Dodoma.

Tanzania itamkumbuka Magufuli kwa kuijenga Dodoma kutoka kuwa mji wa kawaida mpaka jiji kubwa Tanzania. Na hili analifanya kwa vitendo zaidi kuliko maneno. Dodoma saizi kuna projects nyingi sana zinaendelea.

Natabiri baada ya miaka 5 kama Magufuli atakua Rais basi Dodoma itakua mbali Sana in terms of infrastructures.



Sent using Jamii Forums mobile app
nimepita huko wiki iliyopita,hatari sana.
 
Dodoma soon itatangaza tender ya ujenzi wa barabara yake ya Pete (ring road) yenye urefu wa 110km dual carriage way...
Sambamba na hilo pia serikali imeshapata mkopo kutoka bank ya maendeleo ya Africa kujenga msalato international airport mradi utakao gharimu zaidi ya $200M
Tukiachilia ujenzi wa 39km ndani ya mji wa serikal ambao nao utajengwa kwa kiwango cha lami...nasubiri kusikia project kubwa hapo kijijini thika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha dear Susan, ahsante kukiri Thika ni kijiji kikubwa cha kulinganishwa na mwanza ilhali Dodoma ni kijiji kidogo ambacho kinafaa kulinganishwa na marsabit. Vyote ni jangwa.
Kama ulisoma somo me kiswahili basi sina shaka ulikua kilaza sana, DODOMA utaiskia vizuri mda sio mrefu,thika bado ni shambani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiambu Governor Ferdinand Waititu on Monday launched a massive Ksh. 1 Billion worth of infrastructural projects in Thika and Ruiru Municipalities that are scheduled to be completed within the next 12 months.

Speaking in Thika, Juja and Ruiru towns, Waititu revealed that the county had received Ksh. 1.8 billion this fiscal year from the World Bank for infrastructural developments within their 6 newly formed municipalities.

Among some of the projects earmarked to be developed include construction of bitumen roads, street lighting, expansion of the towns’ sewerage system, improvement of the drainage systems as well as town beautification programmes.

“Within the next one or two years, Kiambu County will never be the same again. We want to improve these towns to city status will all the infrastructural facilities needed for growth into a 24-hour economy,” said Waititu.

Thika Municipality.

Thika Municipality, which composes of Thika East, Thika West and Juja Sub-Counties, will benefit from Ksh. 300 million annually for the next 5 years, translating to Ksh. 1.5 billion in total.

In this first phase of the programme, about Ksh. 50 million has been set aside to improve on the storm water drainage system in Landless estate within Kamenu Ward and the upgrading of 2.1 kilometre-long Mugo Kibiru Road in Section 9 to bitumen standards at a cost of Ksh. 79 million.

They have also set aside Ksh. 42 million for the supply and installation of integrated solar street lighting and high mast lighting in Thika Town, Hospital Ward, Makongeni, Gatuanyaga, Ngoliba, Juja, Witeithie and Kalimoni.

This project will see 140 solar street lights and 11 floodlights installed in the area. Thika alone will get 35 solar lighting installations that will be distributed across the dark alleys of each ward.

Ruiru Municipality.

Ruiru has been allocated Ksh. 73 million to upgrade the 2 Kilometer Kihunguro-Full Gospel Road to bitumen standards.

Second Phase.

Within the second phase of this programme, The World Bank and Kiambu government will spend about Ksh. 50 million on the beautification of Thika Town and a further Ksh. 50 million each for the expansion of the sewerage system in sprawling Kiganjo estate and Landless estate.

The governor also promised that the county would erect at least one high mast street lighting in each ward with a view to improve on security.
 
Kama ulisoma somo me kiswahili basi sina shaka ulikua kilaza sana, DODOMA utaiskia vizuri mda sio mrefu,thika bado ni shambani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
'UTA"......hiyo tumezoea.We have heard of Dodoma being the capital city from ever since and remains a backwaters place so acha kutupigia kelele za chura ewe mkongolee
 
I thought hii thread ilimaliza huo ubishi kitambo bwana.Get some life.....Dodoma hata kwa Kapsabet is a baby
Bro jipe kazi ufanye,kapsabet ndio naisikia hapa Inawezekana kabisa Ni jina la mtaani kwenu ila haisumbui kitu
 
Bro jipe kazi ufanye,kapsabet ndio naisikia hapa Inawezekana kabisa Ni jina la mtaani kwenu ila haisumbui kitu
Just like I heard of Dodoma here.Initially I thought it's a scientific name of people who eat Albinos.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom