Wana dodoma, mnakila sbb ya kumshukuru JPM milele na milele. Na mseme ameni.
Bila yeye hakuna mwanaccm na taka taka zake ambaye angeweza kufufua huo mkoa.
Dodoma ya 2015 ni tafauti kabisa na 2024. Kuna foleni, kuna trafic lights, kuna hotel na lodge za maana, majengo makubwa yanainuka kila kukicha, miundombinu,ongezeko uwingi wa watu, nk nk. Kiasi sasa ni mji wa kibiashara
#Viva magufuli viva, mzalendo,shujaa, wa kweli