Wao si wameji organise watu sita wangemtuma binti mmoja akaliwe! Teh....usikute mwl aliyewakamata ni wa kike.Mtoto wa Kiume anatoaje Rushwa ya Ngono kwa Mwalimu Mwanaume
Wao si wameji organise watu sita wangemtuma binti mmoja akaliwe! Teh....usikute mwl aliyewakamata ni wa kike.Mtoto wa Kiume anatoaje Rushwa ya Ngono kwa Mwalimu Mwanaume
Brain kwenye masomo ya walimu vicheche pekee? Mtu siku ya test anaumwa anakuja kupewa special anambakizia mwl maksi moja tuu au nusu. 14 over 15. TehPengine ni BEAUTY WITH BRAINS
Zingatia matumizi ya neno PENGINE..Brain kwenye masomo ya walimu vicheche pekee? Mtu siku ya test anaumwa anakuja kupewa special anambakizia mwl maksi moja tuu au nusu. 14 over 15. Teh
hapana mkuu aliegoma hiyo rushwa ni mwanaume.... And huyo jamaa namjua personally nimeshangaa kusikia ni mzee wa mlungulaWao si wameji organise watu sita wangemtuma binti mmoja akaliwe! Teh....usikute mwl aliyewakamata ni wa kike.