Inategemea na vibes zako mzee baba, kama umezoea kula ulanzi na chibuku lazima upaone pa ovyo, hapa Matei sa hii tunakula Heineken tu, kama hauna pesa lazima upate ganzi.
Habari za jioni wana jukwaa nimefikaa dodoma jioni hii kwaio nilikua na uliza Kwa wale wenyeji kuwa niingie mitaa ipi ili nami nifurahie kama mwanaume halisi