Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Mkuu mji wenu huo endeleeni kula vumbi sisi tumezoea kaubaridi na hewa safii ya misitu ndio maana watalii hawakati
Vumbi liko huko kwenye Miji yenu madampo,Dom ni lami Kila mahala na zinazidi kujengwa.

Kwa taarifa Yako Jiji la Dom ndio Lina mtandao mrefu wa lami Tzn nzima hakuna Cha Dar Wala nani.
 
Vumbi liko huko kwenye Miji yenu madampo,Dom ni lami Kila mahala na zinazidi kujengwa.

Kwa taarifa Yako Jiji la Dom ndio Lina mtandao mrefu wa lami Tzn nzima hakuna Cha Dar Wala nani.
Hahahah lami haiondoi vumbi boss nenda Dubai au Riyadh uone kama hakuna vumbi
 
Arusha kulikuwa na source 2
Moja chemchemi toka mlimani ambayo ni maji safi kabisa
Pili maji ya visimani ndio vina madini ya fluoride ambayo yana sifa ya kuharib mifupa na kwa sasa watu wanapata maji safi ya jiji unakunywa bila kuchemsha nguo unafua hazipauki kama dodoma πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ endeleeni kula ubuyu
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Wadanganye washamba wenzako labdaπŸ‘‡πŸ‘‡
 
Dom hakuna kupoa πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C4irC5YtTnE/?igsh=c2Y3emJreTI2d2xy
1323265525.jpg
495305802.jpg
1617463750.jpg
1849574250.jpg
 
πŸ˜€πŸ˜€kuna yule jamaa ILAN RAMON anasema ardhi ya Dodoma haina afya na haifai kwa kilimo🀣🀣..hajiulizi kwanini katika mikoa yote 31 Tanzania mradi upelekwe huko
πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ ona mshakumbwa na njaa huko Dodoma na ndio kwanza March tu!
 

Attachments

  • Screenshot_20240316-163729_Facebook.jpg
    Screenshot_20240316-163729_Facebook.jpg
    623.7 KB · Views: 3
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Wadanganye washamba wenzako labdaπŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚

tumefika huku? Ni kweli tuliomba hiki chakula? Je tunakufa njaa? Hatuwezi kulisha watoto wetu? Mchele? Kweli Mchele? Kwanini wasipeleke nchi zenye njaa?

Aliendelea kusema: Nina hakika kwamba hatukuomba wala hatuhitaji, Wanatupa michele?

Mwengine kwa jina Yoab Mwana wa Seruya alisema: Tunashukuru lakini, HAPANA hatuhitaji huu mchele. Alisema Mchele wetu wa Mbeya upo wa kutosha sana. Alitaka msaada huo wa chakula kupelekwa katika kambi za wakimbizii huko Kigoma .

Aliongezea: Au pelekeni Sudan Kusini .Sisi Hatuutaki. Taifa letu linajitosheleza kwa Chakula alihitimisha.
 
N
πŸ˜€πŸ˜€kuna yule jamaa ILAN RAMON anasema ardhi ya Dodoma haina afya na haifai kwa kilimo🀣🀣..hajiulizi kwanini katika mikoa yote 31 Tanzania mradi upelekwe huko
Nitakujibu ki sayansi kama unahitaji kuelewa ila kama umekariri ubishi endeleeni kupokea mchele wa wamarekani
 
Usidanganye na vishamba darsa kaka kasome uongeze maarifa
 

Attachments

  • Screenshot_20240318-173630_Google.jpg
    Screenshot_20240318-173630_Google.jpg
    583.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom