Dodoma: Askari Polisi auliwa na raia

KUNDULE

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
318
Reaction score
177
Alikuwa ameenda kamata mtuhumiwa. Wakamshambulia na kutenganisha kichwa na kiwiliwili.

Mytake: Askari wasipojirekebisha watauawa sana.

UPDATES:
Ni Hiv imetokea chang'ombe Dodoma askari alikuwa ameenda kumkata jamaa ambaye ni mtuhumiwa, ndipo hapo alipokutana na masaibu hayo kutoka kwa mtuhumiwa akishirikiana na masela.


rest in peace kamanda Joseph Isaack Swai my classmate na jirani yangu kitaani Arusha. wana PCB longido high school tutakukumbuka daima kwa ucheshi wako.. polisi jamii Dodoma imepoteza mtu makini sana. i will dearly miss you bro. pumzika kwa amani

==============================================
TAARIFA YA POLISI



Marehemu wakati wa uhai wake:


 
Tunaomba utueleze vizuri, mtuhumiwa wa kitu gani na alikuwa na uhusiano gnai na wananchi na nini kilichotokea hadi wananchi wakaanza kumfanya hivyo?

Ni jambo la huzuni sana. Ccm inatupeleka kubaya sana. Wananchi wanakuwa na uchungu na serikali kiasi cha kuwa na uadui n achuki kubwa namna hii? Nani aliwaamrisha wampige yule askari? Aliwakosea nini? Jamani ccm acheni upumbavu. Mnaua Tanzania Yetu.
 
Mmmh japo habari hii haina detail za kutosha ila kwa matukio ya karibuni nadhani tunakoelekea si kwema...huu mpishano wa wananchi kujichukulia sheria mkononi na polisi ku enforce sheria isivyotakiwa unatuelekeza kubaya!
 
alikuwa ameenda kamata mtuhumiwa.wakamshambulia na kutenganisha kichwa na kiwiliwili.mytake:askari wasipojirekebisha watauawa sana

Hata mie nimesikia, jamaa kampiga mapanga askari hii imetokea chang"ombe Dodoma, askari alitaka kumkamata jamaa baada ya kumpiga mtoto
 
Ni Hiv imetokea chang'ombe Dodoma askari alikuwa ameenda kumkata jamaa ambaye ni mtuhumiwa, ndipo hapo alipokutana na masaibu hayo kutoka kwa mtuhumiwa akishirikiana na masela.
 
Safi kabisa.. Hahaa, mh. Lipumba upo?
 
Alikuwa ameenda kamata mtuhumiwa. Wakamshambulia na kutenganisha kichwa na kiwiliwili.

Mytake: Askari wasipojirekebisha watauawa sana.


Habari nyingine huwa zinafanya jioni yaki kuwa nzuriiii na kukupa sababu ya kupiga hata beer mbili tatu za kusheherekea. Safi sana raia WEMA wa Dodoma. Safi mno.
 
Waziri wa mambo ya Ndani Mathias Chikawe amesema Bungeni sasa hivi kuwa polisi ameuawa leo mjini Dodoma wakati akijaribu kumuokoa mtoto ambaye alikuwa "anauawa" na mzazi wake! Anasema mtoto ameokolewa.

Hata hivyo, hakusema mtoto alitaka kuuawa kivipi na wala hajasema polisi kauawa vipi mbali na kuonya wananchi na chuki dhidi ya polisi!
 
Huyo aliyemuua ni dini gani? Maana watu wanashangilia sana askari kuuawa. Nijibuni kisha niwaambie mantiki.....
 
Kuna maeneo ni vitovu vya uhalifu kama niko sahihi na kumbukumbu zangu hilo eneo ni moja ya maeneo korofi sasa swali mpaka kunakuwa labelled kwa nini kuliachiwa.

Huyu askari alikuwa anapita njia au? Kama alitokea kituoni kwa nini alikuwa peke yake!? Kama ilikuwa ni lazima kwenda peke yake, usalama wake ulikuwa juu ya nani/ nini!?

Mchelea mwana kulia....
 
Angeonya ccm kuwatumia polisi kunyanyasa raia wasioikubali ccm. Chuki ya ccm dhidi ya upinzani kwa kutumia polisi ikomeshwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…