hhsmakwato
Member
- Mar 19, 2015
- 97
- 51
Sumaye, Lowasa na ccm wenzao wametufikisha hapa tulipo leo. Wakiwa viongozi wakubwa kabisa Leo wanatulaghai tunawashangilia. Nani aliyeturoga watanzania? Mungu tusaidie
Wew ndo umerogwa . Hivi bado uko kwenye zama za jiwe au.?