Dodoki la Sumaye limetosha

Dodoki la Sumaye limetosha

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
17,260
Reaction score
16,918
Binafsi nililidhishwa na utetezi alioutoa Mh. Sumaye dhidi ya tuhuma zinazoelekezwa kwa nd. Lowassa, ndio maana umati wote uliokuwepo pale Jangwani ulilipuka kwa vifijo, kila mtu ameelewa kuwa ufisadi uko ndani ya CCM bado na Lowassa ni mhanga tu wa ufisadi huo wa CCM, over!!
 
CCM wameshajua kuwa hawawezi kamwe kuishinda UKAWA mwaka huu.... wanaegemea kwenye propaganda chafu eti CCM ikitoka madarakani Imani ya nchi itapotea ...
 
Nilitaman aendelee tu kusema kwel jana ckula mchana na wala ckuhis njaa jins umat ulivyokuwa umefurika na nondo zilizoshushwa pale jangwan
 
Binafsi nililidhishwa na utetezi alioutoa Mh. Sumaye dhidi ya tuhuma zinazoelekezwa kwa nd. Lowassa, ndio maana umati wote uliokuwepo pale Jangwani ulilipuka kwa vifijo, kila mtu ameelewa kuwa ufisadi uko ndani ya CCM bado na Lowassa ni mhanga tu wa ufisadi huo wa CCM, over!!

Dodoki lilisahau walikuwa wanamtuhumu ndio walikuwa na Sumaye Meza kuu, Mbowe unawajua muulize tena
 
Ifike wakati muwe mnatumia akili kufikiri. Kipya kipi alichokisema Sumaye ambacho Kubenea hajaandika huko nyuma. Haongei jipya huyo, yaani atawaambia kuku ana miguu miwili na mtakuja kushangilia kuwa amegundua kitu kilichowazi.
 
Ifike wakati muwe mnatumia akili kufikiri. Kipya kipi alichokisema Sumaye ambacho Kubenea hajaandika huko nyuma. Haongei jipya huyo, yaani atawaambia kuku ana miguu miwili na mtakuja kushangilia kuwa amegundua kitu kilichowazi.

Hutumii akili wewe kitu kama hicho kikisemwa na waziri mkuu mstaafu ni kwamba kimeongezewa uzito

Shut your mouth mofo
 
jamani naombeni msaada kwa yeyote mwenye website iliyobeba hotuba ya jana kwenye uzinduzi wa ukawa anijuze maana nataka nianze kuisoma. maana jana muheshimiwa lowasa aliamlisha hivyo
 
sasa hivi, nikuwapigilia misumali tu ad october 25...

Goli la mkono ndo siraha yao,sumaye aendelee tu kuwasha moto ili kura ziendelee kumiminika,watu pia wasisahau kulinda kura hata hizo gari 90 za maji yakuwasha zikipita mtaani watu wasiogope
 
hop Sumaye jana alikidhi kiu waliyokuwanayo watanzania kwa muda mrefu.
 
Sumaye amesaidia sana ukawa kwa turufu hii hata mimi naanza kupata wasiwasi kwamba ukawa itachukuwa nchi
 
Sumaye, Lowasa na ccm wenzao wametufikisha hapa tulipo leo. Wakiwa viongozi wakubwa kabisa Leo wanatulaghai tunawashangilia. Nani aliyeturoga watanzania? Mungu tusaidie
 
hata leo iringa amewapa ccm maneno yao safi xana

Tuambie mkuu kawapa na ipi tena.....jamaa maneno yake sijuo ndio ule upepo aliosema lembeli,mbona unaweka nyeti za kijani nje......ha ha ha ha ha.......Sumaye ni nouma.
 
Back
Top Bottom