Dr. Slaa,rais toka moyoni mwangu karibu Nyumbani. Kuja kwako ni kuamsha ari za waliokata tamaa na wasio na jawabu la matatizo yao,hatutegemei kupata pesa kama si tisheti au kanga toka kwako bali ni tumaini jipya kuwa hali ngumu tulio nayo ni mapito na Tanzania Yenye NEEMA yaja.