Do you know who is JOSEPH KABILA?.....read the attached document

Do you know who is JOSEPH KABILA?.....read the attached document

oh plz, is this true? oh men, these people need to be liberated!
 
KWELI KABISA KAMA UNAVYOSEMA MKUU, KAMA UNAAMUA KUANDIKA KITU BASI NI BORA UWEKE HISTORIA KAMILI, kuhusu shule ni kweli huyu bWana alisoma Zanaki (A level), nadhani kwenye late 80s na early 90s, nakumbuka kipindi hicho ndio alikuwa Mwanafunzi mvulana pekee katiaka shule ya Wanawake (ZANAKI), lakini hapa nashindwa kujua ilikuwaje serikali (maana alikuwa sponsored na GOV) isimpeleke kwanye shule ambazo zilikuwa na combination anayoitaka, maana by that time shule za wavulana A level Dar zilikuwa ni TAMBAZA (PCB na PCM) na AZANIA (PCM), LAKINI HUYU BWANA KUNA KOZI ALIYOKUWA ANASOMA PALE ZANAKI YA KUUNGAUNGA (NAMAANISHA KOZI ALIYOKUWA ANASOMA HAIKUWEPO ZANAKI, LAKINI ALIKUWA ANAUNGA UNGA MASOMO YA KOZI KAMA MBILI TATU KUTENGENEZA HIYO KOZI YAKE), NA ALIKUWA NI MCHEZAJI MZURI WA KARATE PALE ZANAKI NA KAMA SIJAKOSEA ALIKUWA NA ORANGE AU BROWN BELT, hayo mengine ya huyo bwana mwenye hiyo PDF sina uhakika nayo sana lakini ukiangalia huyo jamaa alipotokea hata hapa TZ na jinsi alivyokuwa basi unaweza kwa kiasi fulqani kuwa 50-50
kwa nyongeza nyingine ni kwamba huyo J Kabila na LD Kabila walikuwa wanakaa pale njia panda ya bahari beach(mbuyuni). walikuwa wanakajumba kao pale na kulikuwa na ulinzi mkali sana! Mtu kuingia ndani ilikuwa siyo rahisi. Muda mwingi wakati wa vita mzee kabila alikuwa anakuja kupumzika bongo na watoto(huyo J Kabila) na wngine walikuwa wanakaa bongo/dar. Habari ndiyo hiyo!!!
 
hii ndiyo historia fupi ya Rais Joseph Kabila Kabange...

***

Joseph Kabila Kabange (known commonly as Joseph Kabila; born June 4, 1971), is the
president of the Democratic Republic of the Congo (DRC). He took office in January 2001, ten
days after the murder of his father and DRC president Laurent-Désiré Kabila. On November 27,
2006, Joseph Kabila was confirmed as President following the July 2006 general election.

Early life and education

Kabila was born in a small town in the Fizi territory of the South Kivu province, in the east of
Zaire, now called the Democratic Republic of the Congo. He is the son of Laurent-Désiré Kabila
and Sifa Mahanya. There are however some doubts as to the correctness of this official story.
Many, especially those in the Congolese diaspora, believe that Laurent-Désiré Kabila was not his
biological father; but rather his step father. Many opposition voices have called for a DNA test to
prove his identity as Laurent-Désiré Kabila's natural child, but those calls have gone unanswered.
[1] He started elementary school in the public school system, in Fizi, South Kivu, and never
finished in Dar Es Salaam, Tanzania. He then went on to attend primary school in Mbeya,
Tanzania.

Guerrilla and army years

Following high school, Joseph Kabila followed a military curriculum in Tanzania, then at
Makerere University in Uganda. In October 1996, Laurent-Désiré Kabila launched the campaign
in Zaire to oust the Mobutu regime. Joseph became the commander of the famous army of
"kadogos" (child soldiers) and played a key role in major battles on the road to Kinshasa. The
liberation army received logistical and military support from regional armies from Rwanda,
Uganda, Angola and Zimbabwe. Following the AFDL's victory, and Laurent-Désiré Kabila's rise
to the presidency, Joseph Kabila went on to get further training at the PLA National Defense
University, in Beijing, China.
When he returned from China, Kabila was given the rank of Major-General, and appointed
Deputy Chief of Staff of the Armed Forces of the Democratic Republic of the Congo, in 1998.
He was later, in 2000, appointed Chief of Staff of the Land Forces, a position he held until the
elder President Kabila's assassination in January 2001. As chief of staff, he was one of the main
military leaders in charge of Government troops during the time of the Second Congo War (1998
- 2003).

Presidency

Kabila rose to the Presidency on 26 January 2001 after the assassination of Laurent-Désiré
Kabila. At age 29, he was considered young and inexperienced. He subsequently attempted to
end the ongoing civil war by negotiating peace agreements with rebel groups who were backed
by Rwanda and Uganda, the same regional armies who brought Laurent-Désiré Kabila's rebel
group to power 3 years before. The 2002 peace agreement signed at the Inter-Congolese
Dialogue in Sun City, South Africa, which nominally ended the Second Congo War, maintained
Joseph Kabila as President and head of state of the Congo. An interim administration was set up
under him, including the leaders of the country's two main rebel groups as vice-presidents (two
other vice-presidents were representatives of the civilian opposition and government supporters
respectively).
On March 28, 2003, an apparent coup attempt or mutiny around the capital Kinshasa, allegedly
on the part of members of the former guard of former president Mobutu Sese Seko (who had
been ousted by Kabila's father in 1997 and died in the same year), failed. On June 11, 2004, coup
plotters led by Major Eric Lenge allegedly attempted to take power and announced on state radio
that the transitional government was suspended, but were defeated by loyalist troops.
In December 2005, a partial referendum approved a new constitution, and a presidential election
was held on July 30, 2006 (having been delayed from an earlier date in June). The new
constitution lowers the minimum age of presidential candidates from 35 to 30; Kabila turned 35
shortly before the election. In March 2006, he registered as a candidate. Although the new
constitution stipulates that a debate be held between the two remaining candidates for the
presidency, no debates took place and this was declared by many as unconstitutional.
According to widely disputed provisional results announced on August 20, Kabila won 45% of
the vote; his main opponent, vice-president and former rebel leader Jean-Pierre Bemba, won
20%. The irregularities surrounding the elections results prompted a run-off vote between Kabila
and Bemba which was held on October 29. On November 15, the electoral commission
announced the official results and Kabila was declared the winner, with 58.05% of the vote.
These results were confirmed by the Supreme Court on November 27, 2006, and Kabila was
inaugurated on December 6, 2006 as the country's newly elected President. He named Antoine
Gizenga, who placed third in the first round of the presidential election (and then backed Kabila
in the second round) as prime minister on December 30.
Although Kabila registered as an independent, he is the "initiator" of the People's Party for
Reconstruction and Democracy (PPRD), which chose him as their candidate to the election.
In response to accusations that sex crimes had been committed by the Congolese military, he
pointed out that 300 soldiers have been convicted of sex crimes, although he admitted that is not
enough.

Wedding

On June 1, 2006, after many wedding rumors were fueled by many in top positions in the
country, the head of the Presidential Household, Ambassador Theodore Mugalu officially
announced the wedding of the President to Ms. Olive Lembe di Sita. The wedding ceremonies
took place on June 17, 2006. Mr. Kabila and his spouse have a daughter, born in 2001, named
Sifa after Kabila's mother.
As President Kabila is Protestant(Anglican), and Ms. Lembe di Sita is Catholic, the wedding
ceremonies were ecumenical, and were therefore officiated by both the Catholic Archbishop of
Kinshasa, Cardinal Frederic Etsou Bamungwabi, and Pierre Marini Bodho – Presiding Bishop of
the Church of Christ in Congo, the umbrella church for most Protestant denominations in the
Congo, known within the country simply as "The Protestant Church".
 

Attachments

birthers politics tuu hapo na wala hakuna jipya,ila this kind of politics ni very dangerous kwa nchi ambazo hazina strong institution to deal with this crap,hizi dirty politics za kuulizana uzawa au kumfanya mwenzako outsiders hazina mwisho mzuri siku zote,mliona Mtikila na version yake ya magabachori politics in few days watu walianza kuwarushia mawe watu wenye asili ya Kiasia na wakaanza kuamini kabisa wao ndio chanzo cha matatizo yote,kwa Africa ni rahisi sana kwa any i-diot politician kutumia this crap kupata support,kuna mtu hapo juu amesema kuna watutsi wame inflitrate serikalini inabidi waangaliwe na usalama wa taifa or whatever lakini anasahau Tanzania kuna watutsi kibao tuu ambao sio wakimbizi na ni raia kama yeye,sijui sasa kwanini wao wawe suspect,nenda Kigoma,Ngara na wilaya nyingine za kagera watutsi huko ndio natives na wanajulikana kama waha,wahangaza etc sio siri kuna ministers wengi tuu,secretaries na hata former BOT Governor ni wahangaza wenye asili ya kitutsi,hizi politics za birthers watu wakizichulia serious zitawipe kila mtu na hakuna atakayepona...huyo kabila wakati anapigana msituni kumwondoa mobutu aliye fu-ck up wacongo for decades mbona hawakusema yeye sio Mcongo ila leo kashika nchi basi sio raia tena,its all about power na leo kama congolese will buy that crap price yake itakuwa civil war na watakao suffer ni poor congolese
 
Nilijua tu mada inayohusu Watutsi Kobe ataibuka kuonesha blind commitment yake to the course ..Unfortunately hizi sio zama za mawe..Information zinakuwa shared just one click away na ukweli lazima uwekwe uchi upenuni.
 
Nilijua tu mada inayohusu Watutsi Kobe ataibuka kuonesha blind commitment yake to the course ..Unfortunately hizi sio zama za mawe..Information zinakuwa shared just one click away na ukweli lazima uwekwe uchi upenuni.

....do you actually believe all the garbage they are saying about kabila or hima empire? if you do youre pretty gullible,what dou you mean blind commitment to the course? sometimes unajua i feel like waste of time to debate i-diots like you,you refuse to educate yourself whats the facts or twisted truth and i suspect you dont know much about kabila or idiotic conspiracy of Hima empire,ukitaka debate na kusikia the other side ni sawa,lakini looks like soon you will be on my IGNORE LIST,then utatafuta mwingine wa kumrushia hizo bizzare accusations!
 
What Kobe does know is the fact that he is already in MY IGNORE LIST...simply coz he always has ZERO INPUT.
 
What Kobe does know is the fact that he is already in MY IGNORE LIST...simply coz he always has ZERO INPUT.

....really,how can you see my posts? you dont even know how IGNORE LIST works,pls dont spoil the debate and nobody cares if im in your ignore list,ignore list is just a tool to control what posts you can/cant see
 
Thanks Magezi for this interesting booklet.

I just started reading this and something rubs me the wrong way.

I actually wanted to print this so I could read at leisure away from my screen, but I am beginning to doubt it is worth that. I see more prose than points, more propaganda of the hue of the Hima empire akin to an African version of "Protocols of The Elders of Zion" than purposeful punditry.

1. I could be wrong, they say Joseph is an adopted son, there is no concrete evidence to dispute this paternity issue, and in itself it is of little importance baba ni baba whether biological or adoptive.The larger repercussion involves the level of credibility and integrity of the document. There is a resemblance between Joseph and Laurent Kabila that calls this "adopted son" assertion to doubt. Then again this might be due to a common look amongst men of Eastern Congo, maybe there is a lesser degree of "A Tanzanian cannot tell the Chinese apart and they all look similar to him"

Au watu wanaokaa nyumba moja kwa muda mrefu huishia kufanana, hata kama ni watoto walio adopted kutoka familia za kibaiolojia tofauti (baloney?)

Hebu nisaidieni

congo-16-joseph_kabila_.jpg


41.jpg


2. They assert that Kabila never had a secondary education while it is known that Kabila went to Zanaki Jioni. Dang, of all the Schools Zanaki Jioni gets in the books of history for this one.

Indeed they seem to know very little about Joseph Kabila's time in Tanzania.

The booklet strikes me as strong on propaganda and short on facts.

Wangetaka kujua Historia halisi ya Joseph Kabila wangemtafuta Sensei Massawe wa Zanaki aliyekuwa Karate sparring partner wake, now that I think of it inawezekana kabisa Kabila alichagua kwenda Zanaki jioni not so much kusoma Secondary education bali kufanya makaratee.

oooh...hiyo sina, kumbe ndio sababu...asante kwa ushirikiano.....nitaidownload
mmmh!
 
Nilijua tu mada inayohusu Watutsi Kobe ataibuka kuonesha blind commitment yake to the course ..Unfortunately hizi sio zama za mawe..Information zinakuwa shared just one click away na ukweli lazima uwekwe uchi upenuni.

What Kobe does know is the fact that he is already in MY IGNORE LIST...simply coz he always has ZERO INPUT.
This is JF new phase! Im NOT ready for war!

***
You will find as you look back upon your life, that the moments when you have really lived, are the moments when you haven't done things in the spirit of love!! Love thy neighbour as thou self!

I pray that God forgives you!
 
....really,how can you see my posts? you dont even know how IGNORE LIST works,pls dont spoil the debate and nobody cares if im in your ignore list,ignore list is just a tool to control what posts you can/cant see
Mkuu,
That wasn't yours! Just ignore him! It shall come to an end! I bet you, very soon.
 
Early life and education

Kabila was born in a small town in the Fizi territory of the South Kivu province, in the east of Zaire, now called the Democratic Republic of the Congo. He is the son of Laurent-Désiré Kabila and Sifa Mahanya. There are however some doubts as to the correctness of this official story. Many, especially those in the Congolese diaspora, believe that Laurent-Désiré Kabila was not his biological father; but rather his step father. Many opposition voices have called for a DNA test to prove his identity as Laurent-Désiré Kabila's natural child, but those calls have gone unanswered.

Duh...hizi habari inawezekana zina ukweli fulani!
 
Mkuu Kiranga, wewe mkali sana. Angalia kuna watu humu wanaweza kukupotezea muda kwasababu wapo mbali sana na weledi wa mambo yanayozungumziwa. Pia kuna wenye " beleiving anything syndrome" . Hao wakisoma tu wanakubali na kuamini bila hata kujiuliza japo kidogo.

OK, vizuri. Your humility is charming and shows a backhanded intelligence that was much veiled in your original post. If indeed it is humility and eminence I am seeing.

Let me break it down for you.

Nilichosema ni kwamba, kuna uvumi usio msingi kwamba kuna Watutsi wanataka kutawala Afrika mashariki na kati, uvumi huu ndiyo msingi wa "Hima Empire theory" ambayo inasema Kagame na Museveni ndio viongozi walio implement hii plan, na hata katika serikali ya Tanzania kuna Watutsi wanaotaka kutekeleza hii plan.Nimesema huu ni uvumi usio msingi, kama uvumi uliopelekea kuuawa kwa wayahudi kwa kutumia kijitabu cha uongo cha "The Protocols of The Elders of Zion" ambacho Hitler alikitumia kama propaganda ya chuki dhidi ya Wayahudi kabla ya kuwaua.

Nilichosema ni kwamba, tuyachambue mambo kiundani ili tusirudie makosa waliyoyafanya Wajerumani ya kukubali propaganda za kisiasa bila kuzichambua.

In fact, nilichosema ni quite the opposite ya wanachoelewa watu wengine.Wengine - kama wewe- wanaelewa kwamba nimesema kuna Watutsi katika serikali ya Tanzania wanaotaka kuichukua serikali. mimi nimesema kuna uvumi usio msingi, unaoendana na Hima Emipre theory na "The Protocols of The Elders of Zion" ili kuwafanya Watutsi waonekana wana empire ambitions.

Sasa mtu ukiwa huelkewi Hima Empire ni nini, kwa nini nimeita Hima Empire theory kama uvumi, kwa nini nimetoa hiyo link ya Allafrica.com inayomquote Museveni aki dismiss Hima Empire rumors, ukiwa hujui "The Protocols of The Elders of Zion" ni nini na ilichangiaje kuuawa kwa Wayahudi, ukiwa huelewi role ya propaganda katika mauaji ya halaiki ya Rwanda, unaweza kusoma kisentensi kimoja, kuki misinterpret, na kuona tofauti na kilichosemwa.

Sikatai kwamba hiki kijibooklet kinaweza kuwa na ukweli, lakini aliyekiandika inabidi atuletee a more concrete case than this hodgepodge of incredible propaganda.

Nilivyokuwa sekondari, years ago, nilikuwa mpenzi wa vitabu vya James Hadley Chase. Kuna kimoja kinaitwa "Believe this, you will believe anything"

It is inevitable that part of this document carries some truth.Mtu hawezi kuandika out and out falsehoods like that. Lakini pia hii ni document ya kisiasa, wapinzani wa Kabila wa kisiasa wameiandika, kwa hiyo inabidi tujue ukweli uko wapi na propaganda zilizo subject to interpretation ziko wapi na uongo uko wapi.

Kwa wale wanaotaka kulimeza pdf lote kama gospel truth, nawaambia kama alivyosema Chase.

Believe this, you will believe anything.
 
Mkuu kuna mengi tu ya maana yameachwa kuhusu historia ya Mheshimiwa huyu.

Baada ya A level, alikwenda JKT Makutupola (Operation vyama vingi) 1992/93
Hili pia si jambo kubwa kuwa mentioned kwenye history yake? am also doubtful with the ka PDF
 
Back
Top Bottom