Thank you so much AntiThat much I can attest dear..... Keep on keeping on Love... BTW saizi kitu gani umekusudia ukipate?
Usinichoshe meeeen. . .Kama vile namuona Boss meno yote nje..lol
Hahahahaha, Lizzy umeniua!Usinichoshe meeeen. . .
I'm SEXY and I know it. . hata nikiwa natafuna mahindi ya kukaanga bado nakubalika.
Umenikumbusha kingine: hua sitamani kitu just kwa kukitamani, kila kitu ni kwa mstari, na kila ninacho kipata ni ngazi mpya kwa hatua inayo fwata. so Nikisha pata nilichokua natafuta naenda nacho next level. lol
Nilimpa. alisema alikua na siku ndefu leo, nikikuona nikwambie anaenda nyumbani mara moja kukusubiri.aaww' no problem Mwali my mwali, I know the ripe time will come.... Ulimpa ankal wako chai?
Mara chache sana, ila sito enjoy...that is good
unaweza kuvumilia kuwa a passenger in the car?
nakuona all the time you like to drive lol
Usinichoshe meeeen. . .
I'm SEXY and I know it. . hata nikiwa natafuna mahindi ya kukaanga bado nakubalika.
Joune sijagongana nawe siku nyingi Pal.... How have you been?
My best feature, Ni Lips..... I love my Lips....
Tuachie namba ya sim kabla hujaingia huko maana mkisha ingia mnapotea. lolLeo nimepata status ya ''JF Senior Expert Member''.Kwangu mimi achievement ndogondogo ndizo huzaa kubwakubwa ila natamani ungekuwa Ubunge ili na mimi nipate haka kaposho kapya ha..ha..ha..ha ila 2015 sio mbali.My JF i.d says it all about me,am always on to the next big thing.
Sifa jisifie, wasiokuweza wachukie.
Umeenda peke yako?nmeikubali....
Nmeweza kuja kupumzika Zenji,
nilipanga hichi kitu kwa miaka kadhaa!
Mvumilivu, nasamehe haraka....nimesaidia wahitaji kwa kadri ya uwezo wangu pale nilipoweza.....zaidi ya yote,ninajivunia kuitwa mama na watoto yatima niliowalea hapo nyuma na nitakaoendelea kuwasaidia nikipata uwezo zaidi.....hakuna kitu kimenifurahisha maishani so far kama wao kujivunia hata nikiwa mbali,tuna mama yetu anaitwa fulani,na nikifika wanaacha chochote wafanyacho kuja kunilaki.....hata nikifa leo,ndicho kitu pekee najivunia!
Lazima kuna kitu unacho kipenda lakini mwilini mwako... au?Lips! Luck you
sipendi my lips & eyes.