Do you believe in life after death?

Lukansola

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
5,435
1,597
Ndanzi alikuwa mfanyakazi mlokole aliyeaminiwa sana na mabosi wake, hasa kutokana na imani yake ya kidini. Siku moja huyu ndanzi aliomba ruhusa kwenda kuhudhuria msiba wa mjomba wake. akaruhusiwa.

aliporudi baada ya wiki maongezi na bosi wake yalikuwa kama ifuatavyo:

Boss: Ndanzi pole sana na msiba, but do you believe in life after death?
Ndanzi: Yes boss, yapo maisha baada ya kifo hasa kwa mtu anayeishi na imani ndani yake.
Boss: Ooukay basi ndo maana baada ya wewe kuondoka, yule mjomba wako uliyekwenda kumzika alikuja hapa kukuulizia.
 
Ndanzi alikuwa mfanyakazi mlokole aliyeaminiwa sana na mabosi wake, hasa kutokana na imani yake ya kidini. Siku moja huyu ndanzi aliomba ruhusa kwenda kuhudhuria msiba wa mjomba wake. akaruhusiwa.

aliporudi baada ya wiki maongezi na bosi wake yalikuwa kama ifuatavyo:

Boss: Ndanzi pole sana na msiba, but do you believe in life after death?
Ndanzi: Yes boss, yapo maisha baada ya kifo hasa kwa mtu anayeishi na imani ndani yake.
Boss: Ooukay basi ndo maana baada ya wewe kuondoka, yule mjomba wako uliyekwenda kumzika alikuja hapa kukuulizia.

Safi sana hii, nimeipenda.Boss alimtega Ndanzi vizuri sana
 
Kwenye mwili wako kuna atoms za dinosaurs na watu waliokufa zamani, basically the earth is one big recycling plant, so in that sense, there is life after death kwa maana ya kwamba ukifa utaoza halafu atoms zako zitarutubisha mimea na kuwa mimea, zitaliwa na wadudu na kuwa sehemu ya wadudud, zitaenda hata kuwa sehemu za watu wengine.

So there is life after death, yiou just wont know it. That's what seems to be the case beyond a shade of doubt.
 
Kwenye mwili wako kuna atoms za dinosaurs na watu waliokufa zamani, basically the earth is one big recycling plant, so in that sense, there is life after death kwa maana ya kwamba ukifa utaoza halafu atoms zako zitarutubisha mimea na kuwa mimea, zitaliwa na wadudu na kuwa sehemu ya wadudud, zitaenda hata kuwa sehemu za watu wengine.

So there is life after death, yiou just wont know it. That's what seems to be the case beyond a shade of doubt.

Nimependa hoja hii, hebu tuitafutie uzi au unasemaje mkuu Kiranga?
 
Kwenye mwili wako kuna atoms za dinosaurs na watu waliokufa zamani, basically the earth is one big recycling plant, so in that sense, there is life after death kwa maana ya kwamba ukifa utaoza halafu atoms zako zitarutubisha mimea na kuwa mimea, zitaliwa na wadudu na kuwa sehemu ya wadudud, zitaenda hata kuwa sehemu za watu wengine.

So there is life after death, yiou just wont know it. That's what seems to be the case beyond a shade of doubt.

lakini mkuu ndo aje vilevile? bora hata angekuja kama mkungu wa ndizi, lakini wangemtambuaje?
 
Back
Top Bottom