Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,516
- 6,495
Kwa huu ulimwengu wa usawa, kuna marais wanawake na watakuja wengi tu miaka inavyokwenda
Kwa sasa tuna "First Ladies" na wanatanua kweli kweli kwa mamlaka ya waume zao wenye mamlaka, lakini nimeona mifano michache (samahani sitaitaja) kwa wanawake marais na wenye vyeo vikubwa wanapokwenda kwenye shughuli za kikazi huwa hawaongazani waume zao(pengine niseme kwa uwazi) kwa mitindo ile tunayowaona wakifanya first ladies au wake wa hao wanaume wenye mamlaka
Je, wanaume hawapendi au ni wanawake wenye mamlaka ndio hawapendi? Au kwa vile bado haijahalalishwa kuwepo First daddies!
Malkia wa UK yes
Kwa sasa tuna "First Ladies" na wanatanua kweli kweli kwa mamlaka ya waume zao wenye mamlaka, lakini nimeona mifano michache (samahani sitaitaja) kwa wanawake marais na wenye vyeo vikubwa wanapokwenda kwenye shughuli za kikazi huwa hawaongazani waume zao(pengine niseme kwa uwazi) kwa mitindo ile tunayowaona wakifanya first ladies au wake wa hao wanaume wenye mamlaka
Je, wanaume hawapendi au ni wanawake wenye mamlaka ndio hawapendi? Au kwa vile bado haijahalalishwa kuwepo First daddies!
Malkia wa UK yes