Do u knw him?

mallaposa

Member
May 27, 2014
5
9
Tanzania,tanzania,nia yako ni njema sanaaaaa.....!!!!
 

Attachments

  • 1402464265414.jpg
    1402464265414.jpg
    45.3 KB · Views: 670
aisee ni yeye kabisa ina maana hakumbuki nyumbani,itafahamika tu dunia ni kijimtaa.
 
Anglia uelekeo wa kivuli cha kiti na uelekeo wa mwanga ktk uso, pia mng'ao wa sura hauendani na picha ,Mdau tengeneza nyingine labda tutahis ni yeye
 
Daud Balali anakula bata visiwa fulani.ESCROW sijui huyu gavana wa sasa atafichwa wapi
 
Anglia uelekeo wa kivuli cha kiti na uelekeo wa mwanga ktk uso, pia mng'ao wa sura hauendani na picha ,Mdau tengeneza nyingine labda tutahis ni yeye

kaka hii cheki pia upande wapili wa kiti kivuli kilipoelekea yaani hii haijawa edited ni full ukweli kabisa.
 
Some one send to me ila sijui kama ni yeye kweli au it wamefanya yao ila kwa feelings zangu fake.nahisi huyu bwana yupo. Dunia ni ndogo sana ipo siku kila kitu kitawekwa wazi na wakukikanusha atakosekana
 
Hata kama si yeye but ni mzima wa afya hajafa. Sijaona serikali mithili ya hii ya awamu ya nne.
 
Ukionana nae tu ukirudi bongo unauawa kama yule prof. aliyepigwa risasi Mbezi.
 
Back
Top Bottom