Do alliens exist?

Owk
 
ulishawahi fanya kazi nasa?
 
story za jaba
 
Gaijin is an alien... Illegal alien pia nao ni alien.., kwahio chochote kigeni ni alien kwa kilichopo..., hayo mengine ni conspiracy theories until we know otherwise
 
Bila shaka ndio wanaoisaidia CCM kushinda kwenye Chaguzi Kuu za Urais, Ubunge na Udiwani!
 
Inabidi ujue kwanza hili neno "Alien" lina maana gani...??

In fact "Alien" anaweza kuwa kiumbe chochote yule (hata wewe Binadamu) na hutokea hivyo kama ataingia kwenye mazingira geni kabisa nje kabisa ya mazingira yake ya asili.
Mfano; Binadamu akitoka Duniani kwenda Mars au kwenye Mwezi.. kule kama atakuta viumbe wengine basi hao viumbe watamchukulia huyo binadamu kama Alien. So.. Alien ni kitu kigeni katika mazingira yetu ya asili.

Turudi kwenye swali lako...

● Asee... mimi binafsi sina jibu la uhakika juu ya uwepo wa hawa viumbe maana bado naendelea kujifunza. Ila katika pitapita zangu nimegundua kuna makundi mawili yanazozana juu ya uwepo wa hawa viumbe huku moja likiamini kuwa hawa viumbe wapo na jingine likipinga.

● Lakini mambo niliyojifunza kutoka kila kundi ni kuwa kila kundi limekuja na sababu zake...;
○ Wanaopinga wanasema kuwa;
01. Hakuna ushahidi wa kutosha (Obvious physical evidence) juu ya kuonekana kwa hawa viumbe. Wao wanasema kuwa evidence nyingi zinazowasilishwa ni fake, nyingi ni picha za kubuni na computer... yaanu C.G.Is (Computer Generated Images) tuu hasa Video..
02. Matukio ya kuonekana kwa Aliens kwanini yanatokea Marekani, Canada, Amerika na Ulaya tuu... kwanini yasitokee China & Africa pia. Zaidi ya 90% ya kesi zote za kuonekana kwa hawa viumbe na ndege sahani zao ni huko Ulaya na America tuu... mbona wako biased kivile..??
Wanaosema Aliens wapo points zao ni kuwa;
01. Ulimwengu wetu huu ni mkubwa sana na unaendelea kutanuka (expand) kwa speed ya mwanga tangu uripuke kutoka kwenye bigbang... sasa kuna mabilioni ya Sayari na mifumo ya jua mingi sana ndani ya Galaksi (Galaxy) kibao ndani ya huu ulimwengu wetu na Sayari nyingi zinaweza stawisha maisha (potentially habitable planets)... sasa kwa fikra yako tuu kwa ukubwa wote huu wa Ulimwengu utaamini kuwa tupo peke yetu..???
02. Kuonekana kwa ndege sahani (Flying Saucer au Unidentified Flying Objects - U.F.O) mara kwa mara.
(hili sitoliongelea... nendeni mkacheki YouTube huko wanaupload video za hivi vitu kila uchwao ingawa siamini kama ni za kweli).
03. Antartica.
Inaaminika kuwa hii ndo base ya Aliens hapa Duniani. Kuna story nilisoma kuwa Google Earth satelites zilinasa picha zikiwa zinaonyesha shughuli zisizo za kibinadamu zikiwa zinaendelea huko Antarctica pia kuna mtalii (explorer) alikuta yaleyale na kupiga picha. Alikamatwa na kuambiwa asitoe siri juu ya alichokiona kule. Nchi zaidi ya 12 zimeingia mkataba kulilinda hili eneo ambalo ni barafu tupu... sasa kwa akili yako wanalinda nini pale..???

Sina nguvu ya ku-type kwa leo ila hayo machache yanatosha.

Kwenye Ulimwengu huu huwenda tupo pekee yetu au hatupo pekee yetu.... yote hayo yanaogofya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sisi Watu ni Aliens wa kale Sana na DNA zetu zinaonesha sio Dunia sio chanzo chetu hapa ila tulikuja na kuanza kuadopt mazingira na kubadilika badilika mpaka tukawa pure humans
Na ndio maana kipindi Kizazi Cha dinosaur wapo sisi hatukwepo ila tulikuja baadae Sana!
 
Inafikilisha.
Viumbe hao waliokimbia mabara mengine ndo hao wazungu ambao leo hii wanatuzidi kila kitu kumbe wao walitutangulia kuumbwa na wana uwexo mkubwa sana kiakili(tehnologia zote wao ndo wavumbuzi)
Kuna uzi humu unaeleza tofaut ya wazungu na waafrica

Viumbe wengie walioumbwa ambao n dhaifu ndo africa

Nimewaza kijinga
 
Shukrani naomba kujua mfano wa wale wakwanza walio kimbilia mabara mengine.
na pia naomba mifano ya Hawa wapili ambao wali wekewa bustanini kwa dunia ya sasa. Tafadhari kama Kuna mifano ya hizo jamii nijuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…