Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,744
Mkuu hata kama ni chai ila sio yangu imeandaliwa Mwandishi wa kitabu.Na mimi nilipokuwa nakisoma niliiona ni chai ndo maana sikukimalizia kukisoma hicho kitabu.Ila nimeamua kuyaandika hapa baada ya jamaa niliyemu quote ameongea mambo ambayo hicho kitabu kiliyazungumzia sana.Anhaa kumbe kablaya adamu na hawa walitengenezwa binadamu wengine wakatoroka sasa wako wapi mkuu kwa sasa na jee hawakupatikana tena(bali najua ni chai lakini wacha nijitoe ufahamu niulize tu)
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai
Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.
Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.
Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.
kuna mengi sana naomba kuishia hapa.
Jazia ...wanabadilishana na mataifa hayo kwa madini aina ya copper ambayo wanahitaji sana kwa ajili ya kuunda vitu vyao mbali mbali hasahasa vifaa vya kivita kujiweka sawa kabla ya kuanza mapigano mengine na another aliens species..Aliens ni demons, au unaweza wait a fallen angels. Ni viumbe wa kiroho hawana miili kama Mimi na wewe. Viumbe Hawa, wamekuwa wakifanya maingiliano ya kingono na wanaadamu na kutengeneza viumbe (hybrid) wenyewe maili kama ya watu wa kawaida. Viumbe Hawa wana bases zao katika baada la Antarica, na pia katika Bermuda triangle, na hata katika Dragon's Triangle. Bermuda triangle kuna mlango wa kuingia katika bara la Antarctica(south pole). Meli, na hata ndege hupotea au kuzama katika Bermuda triangle. Aliens, au damons, ndiyo nyakati zingine wanaitwa "Watchers", au " Guardians". Aliens wapo , na ndiyo wanaosaidia nchi za Marekani, Russia, China, na hata Japan, katika matengenezo ya silaha za kivita kama vile madege ya B2 ambao ni anti gravity,na silaha za laser. Vile vile , Hawa Aliens ndiyo waliomsaidia Adolf Hitler kutengeneza submarine aina ya U-Boat, na hata matengenezo ya gari isiyotumia maji wakati wa vita juu ya pili ya Dunia.. Aliens wapo, na base yao iko Antartica ambako Hitler alitorokea.
Nimekusoma mkuu ngoja nitafute PDF yakeMkuu hata kama ni chai ila sio yangu imeandaliwa Mwandishi wa kitabu.Na mimi nilipokuwa nakisoma niliiona ni chai ndo maana sikukimalizia kukisoma hicho kitabu.Ila nimeamua kuyaandika hapa baada ya jamaa niliyemu quote ameongea mambo ambayo hicho kitabu kiliyazungumzia sana.
Ukitaka kujua hao watu wako wapi kitafute ukidownload kinaitwa Atlantis visitation and Genetic manipulation. By Michael Tsarion
HahaWapo mkuu mmoja ni huyu mchato
Ucjitoe ufahamu agiza vitafunwa tu maana hamna namnaAnhaa kumbe kablaya adamu na hawa walitengenezwa binadamu wengine wakatoroka sasa wako wapi mkuu kwa sasa na jee hawakupatikana tena(bali najua ni chai lakini wacha nijitoe ufahamu niulize tu)
Nani amekudanganya ?. Satanism na Illuminati ni kitu kimoja. Ni kama ilivyo Giza na Kivuli. Ile alama ya jicho lililo katika pyramid ambayo haijaisha, unjua jicho hilo ni la nani kama sio Lucifer mwenyewe?.Satanism na illuminati ni vitu viwili tofauti
Mkuu satanism ilianzishwa na ANTHONY LARVEY mnamo mwaka 1966 na illuminati ilianza before 1 May 1776. na ilianzishwa na mtu mmoja wanamuita......Adam Weishaupt (1748–1830), ilijulikana kama Bavarian Illuminati MKUU USIMEZE KILA KITU TAFADHALI SOMA UELEWE MA kwa maelezo zaidi google hayo majina ilo usome historia zaoNani amekudanganya ?. Satanism na Illuminati ni kitu kimoja. Ni kama ilivyo Giza na Kivuli. Ile alama ya jicho lililo katika pyramid ambayo haijaisha, unjua jicho hilo ni la nani kama sio Lucifer mwenyewe?.
HahaaaaaaaYes example messi