Do Africans have low intelligence?

Do Africans have low intelligence?

Hayo ni matusi, huyu ni professor ni mbaguzi wa rangi na pia mpumbavu
 
Huyo Proffessir ndo ni stupid kabisa, tena mwambie f***
 
Badala ya kumtukana fanyeni utafiti mum-prove wrong
 
Ukiwa masikini utapewa kila aina ya matusi lakini yote ni UMASIKINI.
 
Inawezekana ni kweli.Baada ya miaka 50 ya UHURU,bado tunategemea bajeti yetu toka kwa Wazungu.
Nenda pale TEMEKE hospital uone Wajawazito wanalala chini wakati RAIS wao ana ruka kila siku kwenda ULAYA,cost ya trip zake zingeweza kusolve matatizo kama haya.
Hii ndio INTELLIGENCE ambayo hatuna
 
mm ni mweusi tii...! NI KWELI TUNA IQ NDOGO...! angalia tunavyoishi kama nguruwe?? miji yetu michafu...maendeleo hakuna..!

lets do this..! wajapan waje bongo halafu sisi wote twende japan..! NDANI YA MIAKA MITANO WATATUZIDI KWA KILA HALI..!


THO WAPO WEUSI WACHACHE WENYE IQ KUBWA..! BUT ITS ONE IN 1OO MILLION! LETS LIVE WITH IT..!
 
Swala la IQ halina uhusiano na rangi. Huyu prof. ni mbaguzi. Pia comment kama hii ilimuangusha sana mmoja kati ya wagunduzi wa DNA na mwenye tuzo ya Nobel katika nyanja ya sayansi (Dr. Watson) baada ya kuwa proved wrong. IQ inaweza kuleta majibu kutokana na mambo mawili makubwa. Kwanza kinasaba (genes), pili mazingira. "Remember the phenotype/perfomance of an individual is a function of Genes and its Environment" . Wengi nafikiri hatujui inavyofanyika na inavyoandaliwa. Huwa tunaishia kucoment kulingana na skills/knowledge, reasoning, recognition ama analysis ya mtu katika mambo flani. Kawaida wanaoandaa test hizi si katika mazingira ya kiafrika. Laabda tushirikishane hili, kunatafiti za kisasa zilizochunguza viasilia vya mwanadamu kutoka mabara yote na kuonyesha afrika ndiyo kuna viasilia (gene pool) vya aina vyote. Watu wa mabara mengine wana mapungufu ya viasilia ambayo vipo Afrika, na ndiyo maana wanasadiki kuwa asili ya mwanadamu ni Africa na alivyo hamia mabara mengine, mazingira ndiyo yakawabadilisha. Sasa sitarajii eti mwafrika ndiyo wa kufanya kati za kutumia nguvu na routine tu, wapo waafrika waliofanya ugunduzi. Pia, kama mazingira yetu (lishe, elimu, uchumi) yangekuwa mazuri, nasi tungekuwa katika nafasi ya kufanya makubwa kama wao. Kama hizo gene walizonazo na sisi tunazo vilevile, tofauti ni mazingira yetu ama umaskini wetu tu.
Genetics provides no evidence that supports racisims, but has much evidence that contradics it.

Jaribu kufatilia hizi lecture mbili utaweza kubaini ninachomaanisha.

YouTube - Genetic Variation

YouTube - Introduction to Population Genetics

Black people 'less intelligent' scientist claims - Times Online
 
Swala la IQ halina uhusiano na rangi. Huyu prof. ni mbaguzi. Pia comment kama hii ilimuangusha sana mmoja kati ya wagunduzi wa DNA na mwenye tuzo ya Nobel katika nyanja ya sayansi (Dr. Watson) baada ya kuwa proved wrong. IQ inaweza kuleta majibu kutokana na mambo mawili makubwa. Kwanza kinasaba (genes), pili mazingira. "Remember the phenotype/perfomance of an individual is a function of Genes and its Environment" . Wengi nafikiri hatujui inavyofanyika na inavyoandaliwa. Huwa tunaishia kucoment kulingana na skills/knowledge, reasoning, recognition ama analysis ya mtu katika mambo flani. Kawaida wanaoandaa test hizi si katika mazingira ya kiafrika. Laabda tushirikishane hili, kunatafiti za kisasa zilizochunguza viasilia vya mwanadamu kutoka mabara yote na kuonyesha afrika ndiyo kuna viasilia (gene pool) vya aina vyote. Watu wa mabara mengine wana mapungufu ya viasilia ambayo vipo Afrika, na ndiyo maana wanasadiki kuwa asili ya mwanadamu ni Africa na alivyo hamia mabara mengine, mazingira ndiyo yakawabadilisha. Sasa sitarajii eti mwafrika ndiyo wa kufanya kati za kutumia nguvu na routine tu, wapo waafrika waliofanya ugunduzi. Pia, kama mazingira yetu (lishe, elimu, uchumi) yangekuwa mazuri, nasi tungekuwa katika nafasi ya kufanya makubwa kama wao. Kama hizo gene walizonazo na sisi tunazo vilevile, tofauti ni mazingira yetu ama umaskini wetu tu.
Genetics provides no evidence that supports racisims, but has much evidence that contradics it.

Jaribu kufatilia hizi lecture mbili utaweza kubaini ninachomaanisha.

YouTube - Genetic Variation

YouTube - Introduction to Population Genetics

Black people 'less intelligent' scientist claims - Times Online

Mazingira yetu kutokuwa mazuri mpaka tukashindwa kufanya makubwa kama wao yamesababishwa na nini lyimo? sio hiyo intelligence yetu ndogo? Maprofesa na madokta wetu, marehemu baba wa taifa, na wengineo wengi walisomeshwa au walisoma wapi? sio kwa wazungu? Wazungu wapetupita bwana that is undenied fact.......
 
Waafrica ni wapumbafu kabisa hawana akili hasa waafrica wa-ccm IQ yao ni ndogo kabisa.
 
Back
Top Bottom