Ni kweli mtoto anazaliwa na wazazi wenye hobby fulani but yeye akawa na hobby tofauti kabisa, na hobby hiyo inaweza isiwe kwenye chakula tu but ikajikita kwenye nyanja nyengine tofauti tofauti.
Iko wazi kwamba binadamu ni muonganiko wa vitu viwili; 1 nyama/mwili 2 ni roho or spirit.
Mtoto akizaliwa na suala zima la DNA linajikita ktk mwili or nyama, na hapo mtoto hurithi vinasaba kutoka kwa wazazi kwa connection ya sperms na oval/ovari.
Roho chakula chake ni energy. roho ikiwa ktk mwili inapokea energy kwa njia mbili: 1 energy within ambayo inasababishwa na virutubisho vya chakula. 2 energy from out side kwa lugha nyepesi hapa tuseme 'Hewa'
Jee kwanini hobby ya mtoto inaweza kutofautiana na ile ya wazazi wao?
Jibu ni kwamba spirit hairithiwi. kila spirit iingiayo kwa mtoto inakuwa pure, pure kabisa in a sense that all spirits are the same.
Nini kinatofautisha then?
Mtoto anapozaliwa, i mean ule mda ambao mtoto anazaliwa ndio kwa mara ya kwanza spirit yake inaanza kupata energy through 'hewa' hewa ambayo anaipata pale Ndio inamshep kuwa na mitazamo, hobbies na utofauti mwingi tu wa kifikra. In other words hewa iliyomshep yeye ni tofauti na ni unique ukilinganisha na ya mtu mwengine yeyote.
Inakuwaje watoto wawili wakizaliwa mda mmoja?
Watafana hobbie na tabia kwa kiasi kikubwa but pia watatofautiana kutokana na vitu vitatu vikuu. 1 jinsia, 2 malezi na 3 experience. ukumbuke si kitu kimoja kinachoinfluence tabia na hobby ya mtu.
Tuanze na hapo. najua kuna maswali kama mia yanakuja. hahahahaaaaaa! Uliza chochote kuhusiana na nilichokiandika hapo.