Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Tunachouliza watanzania, hivi hilo Bunge lina double standards, Katika maamuzi yake?

Iweje wabunge wa CUF walipovuliwa uanachama wao, papo hapo, wakafukuzwa na ubunge wao, kwa kuwa Bunge lilieleza wazi kuwa haliwezi kuendelea na wabunge wasiotokana na chama chochote cha siasa!

Hivi inakuwaje sasa kwa Hawa wabunge wa Chadema, Spika aendelee kuwakumbatia Hadi pale mhimili wa Mahakama utapotoa hukumu??
Hakuna bunge hapo zaidi ya ujinga tupu
 
Paschal, sifahamu wewe kama ni practising mwanasheria au umesoma sheria. Najua ni mwandishi wa habari. Ninaheshimu chochote unachokifanya!

Point number 7. Ombi la kupinga kufutwa uanachama liko ndani ya submission iliyokataliwa on technical grounds. Sijui umefikiaje kusema ombi lao halijakataliwa wakati mahakama imeamua kutolisikiliza!! Mahakama haikutoa maelekezo yoyote zaidi ya ku-strike out kesi, jambo ambalo linawapa wadai nafasi ya kukata rufaa au kuleta ombi jipya. Kwa sasa hiivi hakuna hata zuio la mahakama akina Mdee wasiondolewe Bungeni!! Please stop gaslighting readers here. Malice ni kitu kibaya sana na katika nchi nyingine license to practice inaweza kuwa revoked na hata mtu akaadhibiwa kwa fine na prison time kwa kutokuwa mkweli!

Ni Spika alisema hatachukua hatua kwa kuwa kuna kesi mahakamani. Ninaona akina Mdee wakipatiwa nafasi ya kufanya jambo hili kwa namna mpya. Ni haki yao na ni jambo jema! Sababu za kufanya hayo ni za kisiasa, hata hivo! Bunge linawahitaji akina Mdee kwa sasa ili kutimiza matakwa na sheria/taratibu nyingine muhimu. Spika Ndugai, hasa, hakuacha jambo hili lifike hapa lilipofika. Spika Dr. Tulia kaliacha limesonga mbele na sasa linaumbua taasisi! Sasa tutasikia hata ji taasisi gani itamtaarifu Spika kuhusu maamuzi ya mahakama (zingatia ni taasisi ipi ilitoa taarifa ya kuwepo kwa shauri mahakamani).

Kilicho wazi - mihimili iko huru katika muundo tu. Kiutendaji haiko huru!
Mkuu NEW order, Mimi licha ya kosomea sheria UDSM na kuhitimu LL.B Hons, sijitambulishi kama Mwanasheria, bali Mwandishi wa habari wa kujitegemea, kwasababu I'm not a practising lawyer.

The plans was stuck out kwa sababu ni defective kama ilivyo void and voidable. Void is incurable while voidable is curable.

Kule nyuma niliwahi kushauri Spika wa Bunge la JMT lazima awe Mwanasheria mbobezi. Thank is what Dr. Tulia Akson is doing.

Sifa za kuwa Mbunge ni lazima kwanza uwe ni mwanachama wa chama cha siasa, ukipoteza uanachama wa chama cha siasa, automatically unapoteza ubunge.

Alichofanya Spika Tulia kwenye hili ni kukalia Kiti cha Jaji kwenye kutoa haki, baaya ya kupokea taarifa ya kina Mdee kufile case, akawapa a temporary injunction kuizua Chadema isiwatimue kusubiria aumuzi wa mahakama.

Uamuzi huu pia unawasa DCidia kina Mdee wasi saffer irreparable damage iwapo wangefutwa ubunge.

She is very right.
P
 
Back
Top Bottom