Dkt. Tulia Ackson chaguo sahihi Mbeya mjini

Dkt. Tulia Ackson chaguo sahihi Mbeya mjini

Kampeni zimeruhusiwa kwa jimbo la Mbeya mjini.

Tume ya Uchafuzi = Uchaguzi na
Polisi, kama kutatokea uvunjifu wa AMANI na DAMU KUMWAGIKA,

ITAKUWA JUU YENU NA WANAOSHANGILIA UPUUZI HUO.
 
Dr. Tulia bwana!! Umeamua kuja kujifanyia kampeni huku jf mapema hivi?
 
Sugu na ule mkopo wake CRDB aliojenga hotel sijui itakuwaje na ubunge unapotea mwakani, ile hotel lazima ipigwe mnada
Magu kesha waambukiza roho ya korosho iliyojaa umasikini.
Kuombeana mabaya lakini wenyewe mnaomba kuombewa kila siku!
Kweli shetani usimkaribishe kwako, kosa la Lubuva 2015 ndio madhara tunayaona.
 
Na ndio maana tutabaki kuwasindikiza wengine kama nchi,yani mtu unaona kabisa ana tamaa ya kupata jimbo,anafanya events za ajabu kama vile kupiga picha na walemavu,wajasiriamali sokoni,mashuleni n.k na watu wakiona hivyo hufikiri huyu ndo chaguo lao atakaebadilisha maisha yao only to find that huyu alikuwa after hicho cheo.
Miaka mitano inapita huku kile walichokitegemea hawakipati only to get disappointments. Wakitaka kumbadilisha huyo wanakuta tayari ameshalewa madaraka na hawezi achia jimbo hata kwa kumwaga damu au wizi wa kura,wanajikuta will zao haziheshimiwi tena,wanaishia kuwa a doomed society na forever more poor.
Tusipobadilika kama taifa kamwe huo uchumi wa kati au mwingine hatutakaa kuusikia kamwe.
 
Acha aendelee kupiga kampeni na kumpamba kuwa ni chaguo sahihi wakati dogo Ado Shaibu akifungua Matawi tu CCM na polisi wenu mnawakamata kuwa hawana kibali.

Hii nchi ina mambo ya kipuuzi sana, na CCM inasababisha Watz tuonekane wapumbavu na wapuuzi kwa matendo yao yasiyo na UTU wala ubinadamu.
 
Moja ya vitu ambavyo WAAfrica tulitakiwa tupigane navyo sana ni kuhakikisha vyama tawala toka enzo za uhuru vinaondoka madarakani au tunavipa changamoto kubwa maana vimetutawala toka uhuru lakini hakuna jipya tena hata kwenye yale matatizo ya msingi Maradhi, Umasikini na Magonjwa..
 
Najua Tulia Ackson anatingisha kiberiti kama anaweza kubalika Mbeya ndiyo maana anafanya kila analoweza awe midomoni mwa wana Mbeya Mjini.

Nadhani Tulia vile anadanganywa na wapambe wanaokula hela zake lakini ki-ukwelj siasa za Mbeya hazitabiriki.

Kama hawatahesabu kura walizopiga wananchi basi Tulia anaweza kuwa Mnunge wa Mbeya Mjini 2020, lakini kama ni kwa kuhesabu kura sioni namna ya watu wa Mbeya Mjini kumpa kura kwa sababu ziduatazo;
1. Mfumo dume; bado watu wa Mbeya hawaamini katika wawakikishi wanawake.

2. Kukosa mvuto; kwa kweli Mh Tulia ana sura ya kilioni. Kama wana Mbeya Mjini wataambiwa wachague kati ya Mary Mwanjelwa au Tulia Ackson, atashinda Mary Mwanjelwa kwa 90% hata bila kutoa senti tano. Mary ana mvuto!!

3. Tulia siyo mwenyeji wa Mbeya Mjini; hilo peke yake linaleta shida. Kwa nini asigombee kwao Busokelo?

4. Mwenendo wake bungenj kama naibu spika; pamoja na kisomo chake cha uana sheria ameonekana ni mtu ambaye yuko tayari kumtumikia kiongozi mkuu kukandamiza haki za wabunge walio chaguliwa na wananchi.

5. Vyanzo vya fedha za misaada; je anapata wapi hizo hela anazotoa misaada kwenye vikundi mbali mbali na je atawalipa nini hao wanaompa hiyo misaada?

6. Kuanza kampeni mapema; ana dalili zote za kuwa ameanza kampeni mapema na ameushika uongozi wa CCM wilaya na Mkoa

7. Mashindano ya ngoma za utamaduni ; siamini kama ndicho wana Mbeya wanataka
 
Na ndio maana tutabaki kuwasindikiza wengine kama nchi,yani mtu unaona kabisa ana tamaa ya kupata jimbo,anafanya events za ajabu kama vile kupiga picha na walemavu,wajasiriamali sokoni,mashuleni n.k na watu wakiona hivyo hufikiri huyu ndo chaguo lao atakaebadilisha maisha yao only to find that huyu alikuwa after hicho cheo.
Miaka mitano inapita huku kile walichokitegemea hawakipati only to get disappointments. Wakitaka kumbadilisha huyo wanakuta tayari ameshalewa madaraka na hawezi achia jimbo hata kwa kumwaga damu au wizi wa kura,wanajikuta will zao haziheshimiwi tena,wanaishia kuwa a doomed society na forever more poor.
Tusipobadilika kama taifa kamwe huo uchumi wa kati au mwingine hatutakaa kuusikia kamwe.

Kwa upeo wa Watanzania na uwekezaji wa CCM kwenye vichwa vya Watanzania inakuwa ngumu sana kuweza kuchakata mambo hasa kuwahoji hawa Wagombea Ubunge nini hasa watawafanyia wananchi kwa maana ya vision na mission zao kuzipima.. Midahalo sasa ni muhimu kwa wagombea wote na midahalo ihusishe wananchi wa eneo husika hasa wale wenye uelewa wa mambo na dunia..
 
Na ndio maana tutabaki kuwasindikiza wengine kama nchi,yani mtu unaona kabisa ana tamaa ya kupata jimbo,anafanya events za ajabu kama vile kupiga picha na walemavu,wajasiriamali sokoni,mashuleni n.k na watu wakiona hivyo hufikiri huyu ndo chaguo lao atakaebadilisha maisha yao only to find that huyu alikuwa after hicho cheo.
Miaka mitano inapita huku kile walichokitegemea hawakipati only to get disappointments. Wakitaka kumbadilisha huyo wanakuta tayari ameshalewa madaraka na hawezi achia jimbo hata kwa kumwaga damu au wizi wa kura,wanajikuta will zao haziheshimiwi tena,wanaishia kuwa a doomed society na forever more poor.
Tusipobadilika kama taifa kamwe huo uchumi wa kati au mwingine hatutakaa kuusikia kamwe.

Kwa upeo wa Watanzania na uwekezaji wa CCM kwenye vichwa vya Watanzania inakuwa ngumu sana kuweza kuchakata mambo hasa kuwahoji hawa Wagombea Ubunge nini hasa watawafanyia wananchi kwa maana ya vision na mission zao kuzipima.. Midahalo sasa ni muhimu kwa wagombea wote na midahalo ihusishe wananchi wa eneo husika hasa wale wenye uelewa wa mambo na dunia..
 
Na ndio maana tutabaki kuwasindikiza wengine kama nchi,yani mtu unaona kabisa ana tamaa ya kupata jimbo,anafanya events za ajabu kama vile kupiga picha na walemavu,wajasiriamali sokoni,mashuleni n.k na watu wakiona hivyo hufikiri huyu ndo chaguo lao atakaebadilisha maisha yao only to find that huyu alikuwa after hicho cheo.
Miaka mitano inapita huku kile walichokitegemea hawakipati only to get disappointments. Wakitaka kumbadilisha huyo wanakuta tayari ameshalewa madaraka na hawezi achia jimbo hata kwa kumwaga damu au wizi wa kura,wanajikuta will zao haziheshimiwi tena,wanaishia kuwa a doomed society na forever more poor.
Tusipobadilika kama taifa kamwe huo uchumi wa kati au mwingine hatutakaa kuusikia kamwe.

Kwa upeo wa Watanzania na uwekezaji wa CCM kwenye vichwa vya Watanzania inakuwa ngumu sana kuweza kuchakata mambo hasa kuwahoji hawa Wagombea Ubunge nini hasa watawafanyia wananchi kwa maana ya vision na mission zao kuzipima.. Midahalo sasa ni muhimu kwa wagombea wote na midahalo ihusishe wananchi wa eneo husika hasa wale wenye uelewa wa mambo na dunia..
 
Na ndio maana tutabaki kuwasindikiza wengine kama nchi,yani mtu unaona kabisa ana tamaa ya kupata jimbo,anafanya events za ajabu kama vile kupiga picha na walemavu,wajasiriamali sokoni,mashuleni n.k na watu wakiona hivyo hufikiri huyu ndo chaguo lao atakaebadilisha maisha yao only to find that huyu alikuwa after hicho cheo.
Miaka mitano inapita huku kile walichokitegemea hawakipati only to get disappointments. Wakitaka kumbadilisha huyo wanakuta tayari ameshalewa madaraka na hawezi achia jimbo hata kwa kumwaga damu au wizi wa kura,wanajikuta will zao haziheshimiwi tena,wanaishia kuwa a doomed society na forever more poor.
Tusipobadilika kama taifa kamwe huo uchumi wa kati au mwingine hatutakaa kuusikia kamwe.

Kwa upeo wa Watanzania na uwekezaji wa CCM kwenye vichwa vya Watanzania inakuwa ngumu sana kuweza kuchakata mambo hasa kuwahoji hawa Wagombea Ubunge nini hasa watawafanyia wananchi kwa maana ya vision na mission zao kuzipima.. Midahalo sasa ni muhimu kwa wagombea wote na midahalo ihusishe wananchi wa eneo husika hasa wale wenye uelewa wa mambo na dunia..
 
Najua Tulia Ackson anatingisha kiberiti kama anaweza kubalika Mbeya ndiyo maana anafanya kila analoweza awe midomoni mwa wana Mbeya Mjini.

Nadhani Tulia vile anadanganywa na wapambe wanaokula hela zake lakini ki-ukwelj siasa za Mbeya hazitabiriki.

Kama hawatahesabu kura walizopiga wananchi basi Tulia anaweza kuwa Mnunge wa Mbeya Mjini 2020, lakini kama ni kwa kuhesabu kura sioni namna ya watu wa Mbeya Mjini kumpa kura kwa sababu ziduatazo;
1. Mfumo dume; bado watu wa Mbeya hawaamini katika wawakikishi wanawake.

2. Kukosa mvuto; kwa kweli Mh Tulia ana sura ya kilioni. Kama wana Mbeya Mjini wataambiwa wachague kati ya Mary Mwanjelwa au Tulia Ackson, atashinda Mary Mwanjelwa kwa 90% hata bila kutoa senti tano. Mary ana mvuto!!

3. Tulia siyo mwenyeji wa Mbeya Mjini; hilo peke yake linaleta shida. Kwa nini asigombee kwao Busokelo?

4. Mwenendo wake bungenj kama naibu spika; pamoja na kisomo chake cha uana sheria ameonekana ni mtu ambaye yuko tayari kumtumikia kiongozi mkuu kukandamiza haki za wabunge walio chaguliwa na wananchi.

5. Vyanzo vya fedha za misaada; je anapata wapi hizo hela anazotoa misaada kwenye vikundi mbali mbali na je atawalipa nini hao wanaompa hiyo misaada?

6. Kuanza kampeni mapema; ana dalili zote za kuwa ameanza kampeni mapema na ameushika uongozi wa CCM wilaya na Mkoa

7. Mashindano ya ngoma za utamaduni ; siamini kama ndicho wana Mbeya wanataka
We jamaa sio mtu mzr kabisa na ikitokea mtu amekujibu hizi hoja naomba unitag
Keep it up
 
Na ndio maana tutabaki kuwasindikiza wengine kama nchi,yani mtu unaona kabisa ana tamaa ya kupata jimbo,anafanya events za ajabu kama vile kupiga picha na walemavu,wajasiriamali sokoni,mashuleni n.k na watu wakiona hivyo hufikiri huyu ndo chaguo lao atakaebadilisha maisha yao only to find that huyu alikuwa after hicho cheo.
Miaka mitano inapita huku kile walichokitegemea hawakipati only to get disappointments. Wakitaka kumbadilisha huyo wanakuta tayari ameshalewa madaraka na hawezi achia jimbo hata kwa kumwaga damu au wizi wa kura,wanajikuta will zao haziheshimiwi tena,wanaishia kuwa a doomed society na forever more poor.
Tusipobadilika kama taifa kamwe huo uchumi wa kati au mwingine hatutakaa kuusikia kamwe.
That's the trend.
 
Back
Top Bottom