GE2025 Dkt. Tulia aahidi ukarabati wa madarasa Uyole

GE2025 Dkt. Tulia aahidi ukarabati wa madarasa Uyole

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Akiwa katika Muendelezo wa kampeni za Ubunge katika Jimbo la Uyole, Mgombea ubunge wa jimbo hilo dkt Tulia Ackson ameahidi kuboresha Elimu pamoja na Miundombinu ya barabara kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya Uchaguzi Ya CCM

Akihutubia Mkutano wa Kampeni katika kata ya Iduda, Dkt Tulia amesema Serikali ya CCM imeshaanza kuboresha Elimu kwa kuhakikisha shule zinajengwa na waalimu wanakuwepo hivyo wananchi wanapaswa kuchagua wagombea wanaotokana na Ccm ili Chama hicho kiendelee kuboresha sekta hiyo Muhimu Nchini


 
Back
Top Bottom