Fuatilia mikutano yao.Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani?
March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani
Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa?
Safi sana. Samia hatoboi mwaka huu bali atatobolewa.We hupo dunia ya CCM nini jana alikuwa kagera
watu wa sisiem mnapenda dana kukurupuka?Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani?
March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani
Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa?
Umekurupuka sana,Dr. Slaa yupo Kanda ya Victoria kwenye mikutano ya No Reforms No Election.Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani?
March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani
Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa?
Unakua mbumbumbu wa CCM alafu hata hufatilii taarifa.Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani?
March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani
Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa?