Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,467
- 30,979
kazee kanapiga vizinga hako dah!,Yuko wapi huyu mzee?
Kabla ya kujiunga na ccm alikuwa member mzuri wa jf.
Hivi sasa yuko wapi?
Nakumbuka sana anavyopambana wakati Rais akiwa sio miongoni mwa yeye
kametelekezwa na hawara yake, kametelekezwa na chadema, kamepuuzwa na taasisi ya SAUTI YA WANANCHI na kwa hivyo kamebaki hakaelewi mbele wala nyuma.
mbaya zaidi anampiga vizinga hadi heche ambae nae yuko na tabia hiyohiyo ya kupiga watu vizinga visivyoisha.
mateso ya kujitakia ni vitu nonsense sana aise kwenye maisha ya uzeeni