Siku alipozungumza upumbavu ule kuhusu Lisu kushambuliwa kuwa Ni Jambo la kawaida ndiyo nilijua Ni mpuuzi wa kiwango ngani na nilijuta kumheshimu siku zote za nyuma. Na Ni MNAFIKI ana msimamo kwa Jambo lenye faida kwake Ila siyo kuisimamia HAKI. Angalia anavyokwepa kuhusu unandamizaji vyama vya siasa kufanya mikutano huku ccm ikifanya. Ndiyo ujue huyu mzee Ni mpuuzi tu.Na hapo utaambiwa aliteleza.Alijaribu kuficha ujinga wake kwa muda.Kwa kununuliwa kwa vipande vya pesa tu alionekana kabaki mtupu.
-Slaa alikejeli kupigwa risasi kwa Lissu na kusema ni kawaida tu hata mataifa mengine watu hupigwa risasi.Wakati yeye alikung'utwa rungu la mkono na polisi hadi Leo anatembea kama mkono ulibanikwa kwenye moto.
-Leo tena haitaki katiba mpya ilhali aliitaka akiwa CHADEMA!
Siwezi sema ni uzee.Kuna kitu hakijakaa sawa kichwani au ni laana ya usaliti.
Lowasa na Slaa nani better?Ficheni basi na zile video zake zilizovuja wakati akinunuliwa na Mwakyembe
Ccm kwa kutunga upuuzi hamjambo na sijui kwanini?.alienda na ndege hahahaa. Lipumba alipelekwa Rwanda na nani? Na slaa alipelekwa Canada na nani? Slaa adi video zipo akiwa na mwakiyembe na jinsi wanavyopanga watafanyaje Ile press. Mkuu usituaminishe upuuzi wakati Kuna vitu tuliviona kwa macho yetuTUWEKANE SAWA
Lowassa hakuja bure CHADEMA bali alikuja kwa fedha yake ambbayo ni hiyo Tsh 10 Billion. Mkakati wa UPINZANI mwaka 2015 ilikuwa through UKAWA.
Kwa Rais wa Muungano Dr Slaa alikuwa tayari popular kuliko mgombea yeyote yule. Mbowe na CDM walitumia muda wao wote wa 2008 hadi 2015 kumpakaza matope Lowassa kuwa ni FISADI kwa ile kashfa ya RICHMOND. Isingekuwa rahisi kimpokea hivihivi kwa kisingizio kuwa eti ndiye mgombea pekee anayeweza kuishinda CCM kwa mwaka ule. Huo ulikuwa ni uwongo tu kutetea hiyo fedha waliyochukua kwa Lowassa na kugawana na Baba mkwe wake Mtei na mgombea wa ZNZ Maalim Seif.
Hawa akina Lissu na Mnyika walipata kiasi cha mboga tu kufunga mdomo. Ukitaka ushahidi tafuta zile picha mtoto wa Mbowe alikuwa anasafiri First Class kwenye Emirates Air kwenda Hongkong kati ya September na December 2015. Alikwenda kuweka hela kwenye akaunti iliyopo benki ya HSBC.
Na hiyo ndiyo sababu iliyomchefua Dr Slaa na Prof Lipumba ambao jamii inawaona ni wasaliti wa UPINZANI mpaka sasa. Ni fedha tu no more
Si kweli.Aliondoka CDM kwa kununa baada ya "kutopewa" nafasi ya kugombea Urais.Mzee ni mroho na opportunist tu.Mviziaji tu!Na umesahau alijiondoa chadema Kwa sababu muliwasafisha watu mliowaita mafisadi lowasa/sumaye na wengineo na mwenyekiti wa chadema kubadili Gia angani kumuuzia lowasa nafasi ya kugombea uraisi kupitia chadema
Msigwa ule uchungaji anaufanyia kanisa gani?Laana ya kukikana kiapo cha upadre inamtafuna
Mpigie simu.Msigwa ule uchungaji anaufanyia kanisa gani?
Not reachableMpigie simu.
Atakuwa kule Kihesa Bwawani.Mtafute mtu amkimbizie simu muongee.Not reachable
Acha avue samaki kama uvuvi wa watu ameshindwa.Atakuwa kule Kihesa Bwawani.Mtafute mtu amkimbizie simu muongee.
Sasa maswali yako nani atajibu?Acha avue samaki kama uvuvi wa watu ameshindwa.
Anayefuatialia waliosoma theoloy halafu wakala konaSasa maswali yako nani atajibu?
Yeye bado yupo kwenye kanisa lake.Mtoro ni daktari wa mihogo.Anayefuatialia waliosoma theoloy halafu wakala kona
ANGEKUWA AMEKUUNGA MKONO UNGEMSIFU KWA NYIMBO NA MAPAMBIOHuyu mzee tangu alipopigwa na limbwata la Shuntama hana alikumbukalo
Ni upuuzi kwako lakini ni ukweli kwetu. Usilete habari za Mwakyembe, kanusha kama Mnowe hakupokea Tsh 10 Billion.Ccm kwa kutunga upuuzi hamjambo na sijui kwanini?.alienda na ndege hahahaa. Lipumba alipelekwa Rwanda na nani? Na slaa alipelekwa Canada na nani? Slaa adi video zipo akiwa na mwakiembe na jinsi wanavyopanga watafanyaje Ile preas. Mkuu usituaminishe upuuzi wakati Kuna vitu tuliviona kwa macho yetu
Daktari mbona yupo , tunaonana naye tu misa ya kwanzaYeye bado yupo kwenye kanisa lake.Mtoro ni daktari wa mihogo.
Mkuu ukifuatulia ibada wanayofanyiwa hawa jamaa wakati wa kuwekwa wakfu, kwa kweli ukikiuka kiapo lazima udate! Dr. Slaa anatembea na laana ya kukimbia U-Padre shauri ya zinaa! Ndiyo maana anakuwa kama mgonjwa wa kichaa!Upadre ni Agano la Binadamu na Mungu binadamu ukilivunja UTAISHI MAISHA YA KUTANGATANGA mpaka Unakufa
Hela za Mushumbusi! Ngoja nije nikumbushie nizile hizo hela!Chadema, msiyempenda kaja, ila kaja na hela.