Siku alipozungumza upumbavu ule kuhusu Lisu kushambuliwa kuwa Ni Jambo la kawaida ndiyo nilijua Ni mpuuzi wa kiwango ngani na nilijuta kumheshimu siku zote za nyuma. Na Ni MNAFIKI ana msimamo kwa Jambo lenye faida kwake Ila siyo kuisimamia HAKI. Angalia anavyokwepa kuhusu unandamizaji vyama vya siasa kufanya mikutano huku ccm ikifanya. Ndiyo ujue huyu mzee Ni mpuuzi tu.Na hapo utaambiwa aliteleza.Alijaribu kuficha ujinga wake kwa muda.Kwa kununuliwa kwa vipande vya pesa tu alionekana kabaki mtupu.
-Slaa alikejeli kupigwa risasi kwa Lissu na kusema ni kawaida tu hata mataifa mengine watu hupigwa risasi.Wakati yeye alikung'utwa rungu la mkono na polisi hadi Leo anatembea kama mkono ulibanikwa kwenye moto.
-Leo tena haitaki katiba mpya ilhali aliitaka akiwa CHADEMA!
Siwezi sema ni uzee.Kuna kitu hakijakaa sawa kichwani au ni laana ya usaliti.