There is only one option for you short of which you will be out...and that is KUCHAKACHUA
Kwani ana wasi wasi gani wakati Sin bin Clair amekwisha muandalia mahali pa kukaa kule Canada?
Tunachosahau - tume ya uchaguzi inamilikiwa na walio madarakani - hivyo 'ushindi' ni dhahiri kwa JK kwani zitafanyika kila mbinu kuchakachua kura za urais na kuhakikisha JK anaibuka kidedea - kama hamuamini subirini matokeo - kilio na kusaga meno!
Hili ndio wengi hawalifahamu, JK anatapatapa tu...anajua amekwisha anguka na anajiandaa kukimbia nchi. Hapa hakuna cha kuchakachua wala jeshi kuchukua nchi hapa ni Dr. Slaa anaingia Ikulu kwa utulivu na amani...wakati huo JK akiwa hoi taabani hospitalini Montreal Canada.
Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu.
Au mwasemaje wapiga kura wenzangu?.
Habari hii inanipa matumaini sana. Japo niko mbali lakini ninafarijika sana ninapopata taarifa kama hizi. Naomba tu ziwe kwa kweli. Watanzania tuliopo Botswana tunawatakia uchaguzi mwema na kesho watu wote wakamchague Dr. Slaa.Habari hii ina ukweli. Msiwe na hofu mabadiliko ni lazima kwa sababu yako mioyoni mwa watu. Tuombe amani.