Dkt. Slaa: Katiba mpya siyo jibu la matatizo ya nchi. Watu waache upotoshaji mitandaoni

Dr kavurugwa na post ya ubalozi sasa anataka ujumbe/mwenyekiti wa bodi ya shirika kubwa la umma.

Namtabiria NSSF,TANAPA,NCAA,TAWA,BIMA,CRDB,NMB au BANDARI.Kati ya haya mashirika Mama anaweza kumzawadia moja wapo.
 
Hivi ni kwann mabadiliko ya katiba yanapingwa vita sana? Je wanaotaka mabadiliko ya katiba watafaidika? Au wanaipinga mabadiliko ya katiba hawatofaidika? Why?
Muhimu sasa ni kupiga Kura nchi nzima . Kujua walio na uhitaji wa katiba mpya au la.
 
Huyu Mzee mbona anakosa busara kiasi hicho Yani Leo Dr Slaa kazidiwa busara na Waziri mkuu Mstaafu Mizengo Pinda kuhusu umuhimu wa katiba mpya kwa Nchi.Namwonea huruma Sana na hafai kuwa kiongozi Mana kwa unafiki kazidi .

Katiba ndio CHIMBUKO la usuluhishi wa matatizo yanayoikumba nchi yetu!!

Janja janja nyingine yeyote ni kutaka kuwahadaa wananchi ili wasipate maendeleo wanayoyataka!!
 
Dr Slaa ni kichwa, mtu wa principles, aangalii sura anapojenga hoja. Dr Slaa will always remain Dr. Slaa.
Wengine wanabadilisha hoja kila kukicha, lengo lililojificha ni uroho wa madaraka kwa gharama yeyote ile!
 
Umemsikiliza lakini? Unaamini katiba mpya itatua matatizo yote ya TZ? Dk. kaelezea vizuri sana! Kwa sasa wapinzani wanataka mambo yote yasimame sababu ya katiba mpya, tumeishi miaka 60 kwa katiba hii hii na mambo yanaenda poa tu
Nini Sasa kitatatua matatizo yote unachokijua wewe na Huyo dakitari wako Ili tukifuate?

Watu wàache kuongelea Katiba Kwa sababu tu kuna Mtu Kwa utashi wake yeye anaona Katiba si hitaji lake?
 
Naungana na Dr slaa,katiba mpya ni hitaji la CHADEMA ambao wanaamini kabisa katiba mpya ndo itakayowaweka madarakani ,wamesahau kuwa katiba mpya ikiaandaliwa watekelezaji wake ni Hawa Hawa raia walipo ambao kwa uelewa wa Wana CHADEMA Ni kuwa hawaifuati katiba ya sasa ,so utashi wa kufuata au kutokuifuata ni wao.

Cha ajabu zaidi Ni pale wafuasi wa CHADEMA linapotokea swala la mtu kutokutimiza majukumu yake kikamilifu Basi wao wanakimbilia kusema suluhuhisho ya jambo Hilo ni katiba mpya,mfano Ni pale mtu anapolalamika kukosa chakula au kulala njaa wao watakuambia suruhu ya watu kulala njaa Ni katiba mpya ,je katiba mpya italeta chakula kwa wananchi au!!!?

Hapa nilichojifunza ni kuwa wafuasi wa CHADEMA ambao ndo wapiga debe wa katiba mpya hawajui maana,utendaji na mipaka ya katiba kutoka na elimu duni waliyo nayo!!!
Duuuh ,umeandika Nini?embu kaa chin tafakari kwa makini,tulia usiwaze chochote,

Anza kusoma taratiibu andiko lako,huku ukinywa Pepsi bariiidi...hakika nakukahakikishia UTAONA MADUDU MENGI MNO KWENYE HILI ANDIKO LAKO
 
..dr.slaa amejuaje kuwa katiba mpya sio suluhisho la matatizo yetu wakati bado hatujapata katiba hiyo?

..wanaodai katiba mpya ndio wenye hoja kwasababu katiba hii ya mwaka 1977 imeshindwa kutatua matatizo yetu hivyo kupelekea kuwa na ulazima wa kuandika katiba mpya.
Dr. Slaa aliwahi kusema haki za binadamu sio kipaumbele. Halafu some fools wanasema kuwa Chadema walipoteza lulu!

Mimi naamini walikwepa risasi.

Huyu angehama chama na kuunga juhudi katikati ya kampeni yake ya kugombea urais.

Amandla...
 
Bila hizo kuruani na biblia hizo anazoita dhambi zingejulikanaje?,kutenda dhambi hakuondoi umuhimu wa hivyo vitabu, babu pumzika jioni ndiyo hii.
 
Huyu mzee laana za kulisaliti kanisa zinamtafuna ni bora angekaa kimmm ya tuu heshima yake iendelee kuwepo kuliko kuropoka tuu
 
Back
Top Bottom