PreGE2025 Dkt. Slaa arejea rasmi CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
CHADEMA ni kama dampo tu kila kitu kichafu kiaruhusiwa kuingia humo uchafu unaanza kurudi sasa na kizee kinafiki kingine kipo pembeni kinajifanya ki askofu kumbe uchafu mtupu
 
Hayo majukwaa ya kanda ya Nyasa yatakuwa ni hatari fire 🔥 hebu Imagine uongozi wote wa CHADEMA plus Dr.Slaa 😆🦾 lazima Watanzania wa nyanda za juu kusini waelewe kuwa kama hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…