Mbona Kama Anatafuta Hadhi Ya Ukimbizi Wakati Tanzania Ni Salama Ama Dhambi Ya Usaliti Inamwandama
Umesahau kwa marafiki zetu, Somalia.m nahisi canada pia sio salama angeomba ukimbizi Burundi,somali au apa jilani Congo pako safe kchiz.......!!
Kakimbia madeni huyoHabari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Nilijua Ukimbizi baada ya nyumba kupigwa mnada kumbe maisha yake yapo hatarini? Kwa Bongo hata usipokuwa na adui yeyote maisha yako yapo hatarini sana,magonjwa maralia,kipindupindu,ajali barabarani n.kHabari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Red Brigade ni sisimizi tu kwa vikosi vyetu vya ulinzi na usalama. Labda ana matatizo yake kijamiiRedi brigedi bado wana machungu wanamfuatilia