GE2025 Dkt. Shaimaa Mohamed: Maandamano yanaruhusiwa kisheria, lakini kwanini muandamane siku ya uchaguzi?

GE2025 Dkt. Shaimaa Mohamed: Maandamano yanaruhusiwa kisheria, lakini kwanini muandamane siku ya uchaguzi?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Dkt. Shaimaa Mohamed kutoka London Hospital iliyopo mkoani Dar es Salaam, katika Kongamano la Wanawake wa Dar es salaam, linalofanyika leo Oktoba 26, 2025, katika ukumbi wa mikutano wa DYCCC, Chang'ombe, ameelezaa kuwa hatua ya kutaka kufanya maandamano siku ya kupiga kura ni ishara ya kuwa maandamano hayo hayana heri

‎"Maandamano yanaruhusiwa kisheria, lakini mimi niweze kuwaambia wenzangu wanaopanga kufanya maandamano, maandamano yanaruhusiwa lakini kwanini siku ya uchaguzi ndio mpange kufanya maandamano? inamaana hayo maandamano hayana heri." amesema Dkt. Shaimaa.


 
Kuandamana maana yake ni kutembea kwa miguu, sasa tangu lini mtu akampangie mwingine kutembea kwa style yake , siku yake na kwa namna yake na tarehe yake inayofaa? waacheni watembee hata kwa mikogo. Musiwapangie kutembea tarahe yeyote ile... waacheni watembee maana hata nyie munaweza pia kutembea kwa namna inayofaa na itakayo wapendeza nyie wenyewe...
 
Kuandamana maana yake ni kutembea kwa miguu, sasa tangu lini mtu akampangie mwingine kutembea kwa style yake , siku yake na kwa namna yake na tarehe yake inayofaa? waacheni watembee hata kwa mikogo. Musiwapangie kutembea tarahe yeyote ile... waacheni watembee maana hata nyie munaweza pia kutembea kwa namna inayofaa na itakayo wapendeza nyie wenyewe...
Ujuaji mwingi mbele giza,hujamuelewa mleta mada kabisa
 
Dkt. Shaimaa Mohamed kutoka London Hospital iliyopo mkoani Dar es Salaam, katika Kongamano la Wanawake wa Dar es salaam, linalofanyika leo Oktoba 26, 2025, katika ukumbi wa mikutano wa DYCCC, Chang'ombe, ameelezaa kuwa hatua ya kutaka kufanya maandamano siku ya kupiga kura ni ishara ya kuwa maandamano hayo hayana heri

‎"Maandamano yanaruhusiwa kisheria, lakini mimi niweze kuwaambia wenzangu wanaopanga kufanya maandamano, maandamano yanaruhusiwa lakini kwanini siku ya uchaguzi ndio mpange kufanya maandamano? inamaana hayo maandamano hayana heri." amesema Dkt. Shaimaa.


Ingetakiwa ajue kwanza lengo la maandamano Nini

Dk inatakiwa uwe na uwezo wa kuchambua ishu TU
Sio unauliza vitu kama vya malayman
 
Tumeamua hiyo siku maana ni siku nzuro sana kwetu na ni siku ya amani sanaaa
 
Huwezi wapangia wananchi siku ya kuandamana wewe bibi. Lengo zima ni kuzuia huo uchafuzi wa hiyo tarehe. Acha maneno ya kinafiki
 
Anatuuliza sisi?
inatakiwa ajiuliye yeye why maandamano yawe siku ya uchaguzi
kwanini yasiwe leo??
 
Huyo ni mgeni nchi hii.

Tulisema NO REFORMS NO ELECTION hakusikia?

Tukasema uchaguzi huu usifanyike kwasababu vyama vingine vime zuiliwa na ccm, hakusikia?

Tukasema tutaandamana tarehe 29 October kuzuia uchaguzi, hakusikua au hakuelewa nini?

Ajiunge na maandamano au aandae ticket akimbie nchi.
 
Mwehu huyo, watu walitekwa, wameteswa, wamepigwa, wako vizuizini haoni sababu ya kuandamana siku ya uchaguzi?
Lengo ni kuzuia uchaguzi haelewi ninj?
 
Back
Top Bottom