hiyo ndo spinning yenyewe mkuu.Wanapiga ndege wawili kwa jiwe moja,yaani hapo hapo spinning,hapo hapo character assasination ili habari yake ipuuzwe.Some people at work...
Naungana na wewe Kim, huyu babu mwenzangu ni mnafiki wa kutupwa, serikali imkamate na ahusike kwa kifo hicho, kuna maswali mengi ya kujiuliza, yeye Mengi alijueje kuwa Kamukala anafatilia hiyo habar? Ana maslahi gani na waandishi wa habar za uchunguz? Je mwandishi alikuwa anareport kwa Mengi mpka ajue kuwa marehem alikataa mamilioni? Kwanini Mengi ahusishwe kila mara kuichokonoa serikali? Ni muda mwafaka sasa serikali imshughulikie huyu mtu
Sidhani kama hiyo habari Kubenea haijui
unless ni uzushi but hai make sense Tanzania yetu kuwe na habari halafu mwandishi mmoja tu ndo anaijua
kama inahusu chadema ilikuwa lazima wamuue LABDA ALIKUWA ANAULIZIA MATUMIZI YA RUZUKU MBOYE KAMWAHISHA KAMA WANGEEEE WATARIME
Hata tukiwajua wenye hizo a/c za escrow, pesa zitarudi? Wahusika watafungwa? HAPANA ndilo jibu rahisi. Kwa hivyo mimi na wewe tukae kimya!
Hongera mkuu. Watu wana chuki binafsi. Kwa kuwa hilo limedokezwa na Mengi basi anapuuzwa. Angesema Mzee tupa tupa wa lumumba angeungwa mkono. Watu wa usalama mzee Mengi ni msaada kwa uchunguzi wa kifo cha Kamukara (kama uchunguzi unahitajika).
kama inahusu chadema ilikuwa lazima wamuue LABDA ALIKUWA ANAULIZIA MATUMIZI YA RUZUKU MBOYE KAMWAHISHA KAMA WANGEEEE WATARIME