Dkt. Olusegun Obasanjo akutana na Rais Magufuli, Asema kiongozi yeyote wa Afrika anayethubutu kuwazuia mabeberu hawawezi kumpenda


Alifunga safari ndefu kuja kusema hayo maneno hapa ili waTanzania tuyasikie, au kuna jambo maalum lililomleta na wala halijadiliwi hapa?
 
Mzee kashadata huyu

Eti Afrika imepiga hatua:

moja, kuna open skies ambazo hazihitaji permit za ndege za Afrika na kutua

mbili. kuanzishwa Africa intercontinental free trade agreement

None of which kimesainiwa na Tanzania, halafu unayasemea hayo uko Tanzania, hujafanya homework, unaongea tu, you must be insane!
 
Nimesoma kichwa cha habari tu .
Sawas mabeberu hawampendi na hao wananchi wasiompenda pia nao ni mabeberu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…